haya mambo mkuu wangu ndetichia yasikilizie na kuyaona kwa watu tu yakikufika acha tu ndio utaona kila kitu kinabana wacha tu wacha tu aiseeee niliumia sana nimejikuta namwangalia sana mwanangu ambaye yeye alifikisha 1yr tr 10/02/2013 yani ni same age nasikitika sana navaa kiatu kuwa ni mimi nimempoteza mtoto wangu yule alivyona mbwembwe na mapenzi ya kweli kwangu nikifika pale nyumbani ananipokea kam mfalme akiniita kwa mbwembwe mwishowe ananiamba mamaaaaa nyonyo haihaihai ,nikipitiliza tu muda wakurudi nyumbani ataanza kulia wee mpka huo muda ntako rudi so ni rafiki aisee hayo mazingira ni magumu kuamini nakuyazoea tushukuru mungu ada yetu ana mjua mungu ndie aliyempa huyu mtoto other wise mhhhhhkwanini sasa unaimention hujui kwenye notification utaikuta bado..
aisee ni bad news acha tu..