KOKUTONA, Mungu alikuwa na uwezo wa kutokuliruhusu hili kutokea lakin je kwann ameruhusu hili litokee??
Mungu ni mwema sana na ninaamini furaha yako itazidi zaid siku utakapokuta mwanao kifuani mwa Abraham amelazwa pamoja na malaika, nina amini utafurah sana kwan utasema kwa ujasiri TALANTA NILIYOPEWA NIMEIZALISHA.
Kwasasa mshukuru Mungu, jitie moyo endelea kuomba ujasiri na faraja ya Kimungu huku ukikumbuka kwamba furaha uliyoipata siku ulipomzaa mwanao inatakiwa iwe sawa na shukurani unazotakiwa kumrudishia Mungu siku hii ambayo amemtwaa.
love you too dear.