Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,903
- 945
Kwa niaba ya Wananchi wa Jimbo la Igunga, Ninatoa shukrani kwa Chama chetu CCM Mkoa wa Tabora kwa kutupa heshima Wana Igunga kuwa wenyeji wa maadhimisho ya Miaka 46 ya Kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Maadhimisho yamekuwa hamasa na chachu ya kufanya kazi kwa bidii katika kuleta maendeleo kwa Wananchi, kusimamia utekekelezaji wa Ilani ya CCM na Ujenzi wa Chama. "Imani uzaa, imani". KAZI IENDELE.
Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga
Maadhimisho yamekuwa hamasa na chachu ya kufanya kazi kwa bidii katika kuleta maendeleo kwa Wananchi, kusimamia utekekelezaji wa Ilani ya CCM na Ujenzi wa Chama. "Imani uzaa, imani". KAZI IENDELE.
Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga