Shujaa wangu mimi 2014, Mama achambua matembele ndani ya daladala

inaonesha anajali muda, anaishi maisha yake, haangalii watu wanamsema vipi au wanamwangalia vipi

ingetakiwa tuishi hivyo kujali muda na kuishi maisha binafsi yako maana wengi wao wanaishi maisha ya kuiga kwenye Tv

nampongeza huyo mama kwa kujali muda na kufanya kitu hicho bila kumuangalia mtu wa kujiuliza uliza
 
Sichezi na wewe, utanifundisha tabia mbaya bure.

Huyu ni mama mwenye kutunza familia yake unlike most of us. Anatengeneza kitoweo kabisa, akifika nyumbani anapika chap chap.

Well hata mimi ni shujaa. Nikitoka ofisini nanunua chapati bakery nikifika nakorofisha chai ya sturungi fasta fasta. Msininyanyapae

Cc Eiyer, Mentor
 
wengine mnazeeka kwa kuendekeza chini na kuchoropo...

P.umbu zako wewe hali halisi ya maisha ya watanzania haswa wanawake tena WA vijijini analima na mtoto mgongoni.
Akitoka jembe begani kuni kichwani au ndoo ya Maji akifika home anapuliza Moto apike na shugjuli nyingi
sana kulala usiku mwingi kuamka mapema sana :rolleyes::mad::mad:
Inaumiza sana halafu wee unasemea kuchoropoa nini
ur insane

Son of the gun:thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown:
 
Vingekuwa hivi vibinti vilivyozaliwa wakati JK akiwa hana Tezi basi ni kujipaka makeup tokea mawasiliano hadi Kibaha!
 
Tunafanya utani tu. Lakini huyu mama kinachomtesa ni pamoja na umaskini na hapo anahatarisha afya yake na ya familia. Unaanzaje kuandaa mboga kabla haujanawa mikono na sabuni? Halafu mboga huoshwa kwanza kabla ya kuchambuliwa. Hii itazuia kama kuna kemikali na bakteria wowote kuendelea kuambukiza tishu mbichi za mboga.

Umaskini sio ushujaa. Tusijivunie ujinga
 
Tunafanya utani tu. Lakini huyu mama kinachomtesa ni pamoja na umaskini na hapo anahatarisha afya yake na ya familia. Unaanzaje kuandaa mboga kabla haujanawa mikono na sabuni? Halafu mboga huoshwa kwanza kabla ya kuchambuliwa. Hii itazuia kama kuna kemikali na bakteria wowote kuendelea kuambukiza tishu mbichi za mboga.

Umaskini sio ushujaa. Tusijivunie ujinga

Umaskini gani sasa kuchambua tembele na kuokoa mda hakuna tatizo hafu nijuavo mboga yoyote inachambuliwa kuondoa kama ina wadudu au imeanza kuharibu then unaiosha unaikata inapikwa kuchambua tembele sio umaskini tena ni mboga recommended kabisa
 
Divaaaaaa nisome unielewe. Naongelea hygiene. Na simple logic in epidemiological approach to health issues. Mikono michafu, vumbi n.k

farkhina atakuelekeza vizuri, ukiosha mboga kabla ya kuchambua unaondoa vumbi na kama kuna madawa yoyote (naongealea kwa ujumla sasa, najua tembele haliliwi na wadudu ). Kazi ya ganda gumu tunalotoa ni kulinda tissue za ndani. Sasa wakati una mikono michafu, unashika na majani mengine kwa nje; utakaposhika zile tissue ambazo ni laini na zina majimaji unazipakaza uchafu na usisahau utanyonywa ndani ya vitawi.

But bottom line hauwezi kuwa shujaa kwa sababu unapika kibarazini juu ya septic tank. Ni umasikini tu na kila mtu angependa awe na jiko lenye sink na maji, na working table. Bila kusahau nishati isiyo kuni ambayo inaumiza macho na kifua.

Usisahau: about 80% ya magonjwa ya kuambukiza yanaweza kuepukwa kwa kunawa mikono na sabuni. Ukiamka asubuhi kabla hujafanya lolote ndani kwako, nawa mikono na sabuni (huenda ulijikuna makalio ukiwa usingizini bwana ). Na kabla na baada ya kuandaa mlo (ya chooni ni basic kabisa ).


Kama una hoja isiyohusiana na escrow account unaweza kuuliza ila nimechoka na taarifa zenu kila saa, msimamage tu
Umaskini gani sasa kuchambua tembele na kuokoa mda hakuna tatizo hafu nijuavo mboga yoyote inachambuliwa kuondoa kama ina wadudu au imeanza kuharibu then unaiosha unaikata inapikwa kuchambua tembele sio umaskini tena ni mboga recommended kabisa
 
Last edited by a moderator:
P.umbu zako wewe hali halisi ya maisha ya watanzania haswa wanawake tena WA vijijini analima na mtoto mgongoni.
Akitoka jembe begani kuni kichwani au ndoo ya Maji akifika home anapuliza Moto apike na shugjuli nyingi
sana kulala usiku mwingi kuamka mapema sana :rolleyes::mad::mad:
Inaumiza sana halafu wee unasemea kuchoropoa nini
ur insane

Son of the gun:thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown:

Hizo ndio kazi za wanawake. Sio kushinda jf, fb na instagram.!!!
 
Tunafanya utani tu. Lakini huyu mama kinachomtesa ni pamoja na umaskini na hapo anahatarisha afya yake na ya familia. Unaanzaje kuandaa mboga kabla haujanawa mikono na sabuni? Halafu mboga huoshwa kwanza kabla ya kuchambuliwa. Hii itazuia kama kuna kemikali na bakteria wowote kuendelea kuambukiza tishu mbichi za mboga.

Umaskini sio ushujaa. Tusijivunie ujinga

Wale wanaopika chips kuku mahotelini na migahawani wananawaga mikono na sabuni?
 
pole wale waliounga mwili mmoja na 'masista du'. Hongera mama. Ila sijajua hizo 'matembele wastes' mabaki ya matembele alikuwa anayaweka wapi ?

mkuu hapo takataka zake huwekwa katikati ya mapaja yake kwenye kitenge alichovaa, mwisho wa safari hushuka nao na kumwaga pale anapoona pana faa, na wengine huweka chini ya huo mfuko na ile mboga safi uwekwa juu then akifika nyumbani ndiyo utenganishwa......ni mboga ya haraka sana ambayo huwa tunaitumia pale tunapokuwa na haraka ya kupata chakula
 
Back
Top Bottom