Kila Ubaya utalipwaCCM walimuua huyu jamaa kifo kibaya sana, aisee !! Damu yako na iwe juu yao wao na watoto wao, wote walioshiriki Kupanga na kutelekeza unyama huo (RIP ) Kamanda !!
View attachment 2416514
AaamenMungu ibariki Chadema
Muulize JiweNi shujaa wa nini huyu
Awachukue wapi Chadema waliahidi hata Kwa watoto wa Mwangosi na ahadi zao ilikuwa ni kuwasomesha,lakini wakawapotezeaHivi Lema aliwachukua watoto wake kuwasomesha?
Bwashee ebu tupe ushahidi wenye data halisi kuthibiyisha madai yako.( kumbuka kwamba Geita ndio eneo linaloongoza kwa unyama Barani africa kwa sasa )
RIP kamanda MawazoHakika mpigania uhuru huyu ataendelea kuenziwa milele
View attachment 970226
Pamoja na kwamba aliuawa kinyama na watu waliotumwa na wanaofahamika lakini jeshi la polisi lilijivika miwani ya mbao , Bali kinachojulikana ni kwamba HAKUNA MIONGONI MWA WAUAJI WA ALPHONCE MAWAZO ATAKAYESALIMIKA.
Mungu ibariki Chadema .
Mbona huko ndio hadi juzi viongozi wa ccm na madiwani wao wamekamatwa na viungo vya Albino ! wewe uko wapi ? (uzi umo humu )Bwashee ebu tupe ushahidi wenye data halisi kuthibiyisha madai yako.
Otherwise ufute kauli yako kwa kuidhalilisha jf na kusambaza uongo.
Hakuuawa kipindi cha jiwe..nyie chademu acheni upuzi na ndo maana watu wenye akili hawawezi kuwachukulia serious.Muulize Jiwe
ilikuwa baada chaguzi kuisha alideal naeHakuuawa kipindi cha jiwe..nyie chademu acheni upuzi na ndo maana watu wenye akili hawawezi kuwachukulia serious.
unaota wewe, peleka huko upuz wakoilikuwa baada chaguzi kuisha alideal nae
Ungeachana naye tuilikuwa baada chaguzi kuisha alideal nae
Habari za Geitaunaota wewe, peleka huko upuz wako
mmoja wawo nahisi ni jiwe tayari amefutwaKila aliyehusika atalipwa kwa ubaya , dawa ya moto siyo maji .
baada ya kuapishwa tu huyo ndio alikuwa Mhanga wa kwanzaHivi aliuwawa awamu ya Jiwe au JK?
Duh! Jiwe hakustahili kuishi ka jamaa kale kwauwaji kaliongozwa 21st centurybaada ya kuapishwa tu huyo ndio alikuwa Mhanga wa kwanza