Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Alphonce Mawazo, Kijana aliyeachana na CCM baada ya kuona kwa macho yake kwamba Chama hicho ndio nguzo kuu ya Umasikini na dhiki zote za Nchi, aliamua kujiunga na CHADEMA chama halisi ambacho ni Chaguo la Mungu kuikomboa Tanzania.
Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015, kutokana na hoja zake za majukwaani kushindwa kujibiwa na wahusika , ikapangwa auawe.
Alphonce Mawazo aweza kuwa binadamu wa kwanza nchni Tanzania kuuawa hadharani kikatili , kwa mashoka mithili ya Mnyama, Mawazo aliuawa mchana na watu wanaofahamika waliotumwa kumuua.
Huyu hapa ni Mama yake Mzazi aliyekutana na Tundu Lissu alipotembelea nyumbani kwake kwa lengo la kumuombea Dua Hayati Mawazo.
Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015, kutokana na hoja zake za majukwaani kushindwa kujibiwa na wahusika , ikapangwa auawe.
Alphonce Mawazo aweza kuwa binadamu wa kwanza nchni Tanzania kuuawa hadharani kikatili , kwa mashoka mithili ya Mnyama, Mawazo aliuawa mchana na watu wanaofahamika waliotumwa kumuua.
Huyu hapa ni Mama yake Mzazi aliyekutana na Tundu Lissu alipotembelea nyumbani kwake kwa lengo la kumuombea Dua Hayati Mawazo.