GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Kuna matajiri wakubwa Tanzania ambao utajiri wao waliupatia kwenye kilimo. Kuna ambao ni wakulima matajiri wanaoendelea na kilimo mpaka sasa. Na kuna matajiri walioamua kuingia kwenye kilimo baada ya kugundua kuwa kilimo kinalipa kuliko biashara zao za awali.
Na, kwa mujibu wa huu uzi, kilimo ni pamoja na ufugaji. Anayefuga mifugo na anayelima mazao ya chakula na biashara wote ni wakulima.
Tupe ushuhuda wako.
Na, kwa mujibu wa huu uzi, kilimo ni pamoja na ufugaji. Anayefuga mifugo na anayelima mazao ya chakula na biashara wote ni wakulima.
Tupe ushuhuda wako.