rosewilliam
New Member
- Feb 1, 2024
- 2
- 0
Habari zenu wakuu.
Ningependa nipate maoni/busara yenu katika hili. Mimi natamani sana hapo baadaye niekeze katika kilimo biashara. Najua kila zao lina changamoto zake ila nahitaji kuelewa kutoka kwa wale ambao wana experience katika hili wanisaidie kunijulisha, ni changamoto gani ziko katika kilimo biashara leo hii in general? Kitu kingine ninachoona ni ukuaji wa teknolojia katika kilimo kama data availability kusaidia katika kufuatilia ukuaji na utunzi wa mazao kuanzia unapolima mpaka unavuna na kuingiza sokoni. Je kuna changamoto zinaweza tatuliwa kwa data? Na je data gani inaweza kuwa na umuhimu sana katika kilimo?
Shukrani sana
Ningependa nipate maoni/busara yenu katika hili. Mimi natamani sana hapo baadaye niekeze katika kilimo biashara. Najua kila zao lina changamoto zake ila nahitaji kuelewa kutoka kwa wale ambao wana experience katika hili wanisaidie kunijulisha, ni changamoto gani ziko katika kilimo biashara leo hii in general? Kitu kingine ninachoona ni ukuaji wa teknolojia katika kilimo kama data availability kusaidia katika kufuatilia ukuaji na utunzi wa mazao kuanzia unapolima mpaka unavuna na kuingiza sokoni. Je kuna changamoto zinaweza tatuliwa kwa data? Na je data gani inaweza kuwa na umuhimu sana katika kilimo?
Shukrani sana