Trick mirik
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 551
- 1,272
Cloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu, unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua" Thomas Benedicto, Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume
#PowerBreakFast
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
#PowerBreakFast