Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,687
- 19,448
ukizunguushwa pengine unapimwaHahahaha kwa hiyo kuzungushwa ni ishara ya kukubaliwa. Nimechekaaaa
Hahahaaa. Pole sana Mkuu.Asie jua kukataliwa kwa sisi wanaume tunasema huyo si mwanaume kamili,na kujitia umangungu wa kang'ang'ania ni kutojiamini.
Mimi mbona humu nimekataliwa mara kibao,nimekubali matokea.... Nacheka sana.
Safi sana my dear. Mapenzi upofu mwaya. πππHuwa husemi uongo.
Akikujib nitag. πKwa hiyo imejitype eh
Aiseeee...ukizunguushwa pengine unapimwa
Kutongoza sio maneno tu cute b kuna aina nyingi na mbinu mbalimbali za kutongoza na kwa vile wewe Ke ni katka viwindwa sio busara nibwabwaje hapa
Mwanamke unapomzungusha mwanaume ujue kuna utongozaji wa aina 1001, na ukija kushtuka unakuta ushaliwa inabaki historia tu, oooh huyu nilikua simpendi nikimuona nilikua namkimbia, sijui namwambia mama yupo, sijui nimesafiri lakini mwisho wasiku ulimpelekea mwenyewe bila kulazimishwa πππ
Kubali tu mwaya Shooo.Amesema imejitype yenyew..
Hahaha
when opposite charges come close...hilo ndo jibu lake.Hahahaaaa. Wataka mdada wa watu aangukiwe na jumba bovu.
Huwa naona mie pia ila sijui kwa nini hii tabia ipo na sijui anayekuwaga mdhaifu hapo ni nani kati ya Me na Ke maana waeza kuta ni katoto kanaenda shule na kamevaa sketi ya shule ila unakuta kanagandana na mtu kisa tu kakaa naye siti moja.
Ila hebu tujadili Wadau dawa ya hii kitu ni nini? Na ni nini inasababisha hii kitu?
Japo tusihalalishe kwamba wote wanaopeana namba lengo ni mapenzi.
Sasa mkuu hii mbinu yako si utapeperusha njiwa wengi saanaHiyo mbinu ya kupotea kwa muda mchezoni kivita tunaiita Gorila War Style...!
Ila sisi wengine kama irrevisible reaction ikienda hairudi hiyo.
Wacha Weeee. Kujilia kilaini ndio aje Sesten?Huo ndio ukamanda mkuu, mwanaume ni kama simba katika kuwinda haogopi kujeruhiwa
Kukataliwa ni sehemu ya game, pengine mwanzo mwanamke anaweza akakukatalia baadae unavyo behave akarudi mwenyewe ukajilia kiulaiini, nawashangaa wanaotumia nguvu na kulazimisha haya mambo kwa usumbufu usiokua na maana kwa Ke
Hiyo mbaya na haipendezi....ila yote hayo ni hutokana na malezi mabayaWengine wanakuwaga na mahusiano yao tayari Mkuu ila wanapata au kutoa mitongozo kwa wengine wakati wa kusafiri.
Hii imekaaje?
Hujui....? Ngoja mtoa mada atupe update brenda akiamka. Huenda akajilia kilaini mwenzake brendaWacha Weeee. Kujilia kilaini ndio aje Sesten?
Kukubaliwa Hajar yaani unakua umeeleweka sera zako kwa kifupiWacha Weeee. Kujilia kilaini ndio aje Sesten?
Oooh. Kuumbewhen opposite charges come close...hilo ndo jibu lake.
Wewe hauna huu udhaifu mzee mama?Tatizo ni mwanamke. Kutongozwa ni kawaida, sio lazima akubali. Japo kuna ndugu m1 alilalamika kuwa kuna wanaume wanajua kuimbisha ni hatari. Safari ya Mwanza to Dom waweza jikuta unateremka Singida (kwa mwanaume), ila ni hoja dhaifu
Ngoja afike atanikomaπππ...mtoa taarifa nitumie namba yako PM ili nikuforwadie kitakachomkuta Brenda akifikaKama Demu ako anaitwa Brenda, ni mrefu, mwembamba, mweupe na anasafiri kwenda Arusha kapanda Basi la Kilimanjaro
Namuona hapa anaongea na jamaa mwingne pembeni yake tokea safari imeanza, Na wameshabadilishana namba za Simu, Wamenunua keki njiani wanalishana na wanacheka kwa raha zao
Bahati mbaya sifiki mpaka Arusha nashukia Njiani, ningeendelea kukupa Information zote
Masela Kusaidiana bana.
ππππ jirani ili waanzishiwe uzi kama hivi eee?Hao wakina brenda ndio wanaotakiwa. Hao wa msimamo mkali hapana. Msiwe mnasafiri wenye itikadi kali
AahahahaKukubaliwa Hajar yaani unakua umeeleweka sera zako kwa kifupi
Hujatumia vifaru, mizinga wala mabomu ya machozi
Amekija mwenyewe kwa miguu yake na kwa mikono yake akashika pichu yake akaivua
Kwako mwalim Kashahaπππ