Shtuka..! Unaibiwa

We jamaaa kuna tangazo la kazi pale clouds fm ukaungane na kwisa mzizi mkavu
 
Hahaaaa. Eti fursa adimu. Duuuh.

Huenda ikawa ndio yeye aliyepewa namba maana sio bure.
Sema we never know.... mtoa mada ameova look. Kuna watu walikutana ndani ya safari moja hiv sasa n mke na mume.

Kwan jiran shida ipo wapi unapotoa namba?
 
Mi naona tabia tu ya mtu mi nasafiri mara kwa mara huwa sina stori salamu kwsh habari ila kuna wanaojiendekeza kila akikaa na dada bas kuchukua namba
 
Hahaaa. Umefanya nicheke maana kiukweli tlka nianze kukuquote kila mara lazima useme sijakuelewa duuuh!

Usiniulize maana waeza sema pia sijalielewa swali lako.
Kutokuelewa swali au maelezo fulani ni jambo la kawaida bibie. Ila kukubali kama hujaelewa kweli ni hatua katika kujifunza na kuongeza maarifa.

Sababu umekataa nisikuulize swali,basi sikuulizi swali.

Ndio maana huwa sipendi kujadiliana mambo na watoto ya kike,huwa napata shida kuwachagulia maneno laini ya kujadiliana nao,sababu ukikosea katika kuchagua maneno,hata ujumbe uliokusudia kuufikisha unaweza usifike. Mwisho wa siku huwa nakubali maamuzi yao. Kama wewe hapa ulivyo sema nisikuulize swali,nimetii kauli yako.
 
Sema we never know.... mtoa mada ameova look. Kuna watu walikutana ndani ya safari moja hiv sasa n mke na mume.

Kwan jiran shida ipo wapi unapotoa namba?
Hahaaa. Hajaliwaza hilo ila hapa naona anawasemea wale walio tayari katika mahusiano kama vile wewe. πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ

Ipo jirani sababu kikawaida huwezi sema ataenda kaa nayo tu lazima ataitumia japo ndio yategemea na aina ya matumizi. Maana waeza shangaa mtu anabadilisha gia angani.
 
Jiran kwani ukiwa kwenye uhusiano ndio unafunga vioo?? Hahahah unatakiwa ufungue vioo uangalie the best zaidi.

Japo mie nimefunga vioo. ]]]
 
Mi naona tabia tu ya mtu mi nasafiri mara kwa mara huwa sina stori salamu kwsh habari ila kuna wanaojiendekeza kila akikaa na dada bas kuchukua namba
Mie pia naona salamu tu inatosha. Hao wanaojiendekeza ndio wengi sana Mkuu yaani bila kupata namba anaona kama hajasafiri.
 
Hahahaaa. Hivyo waona hujaongea lugha laini eee? Duuh.
 
Sioni tatizo hapo, mapenzi huanzia mahala popote haijalishi mlikutana wapi siku ya kwanza.......iwe kwneye basi,mtaani,kwenye matamasha,kwenye tafrija ,humu jf nk cha msingi kila mmoja anajaribu bahati yake....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…