Shroud of Turin (sanda aliyovikwa Bwana Yesu inayoonyesha sura yake) ni kweli ilikuwa ya Yesu Kristo?

Naam shuqraani
Natamani kumjua mwandishi wake
Nimekutext PM mkuu


Hicho kitabu nilichonacho ni edition ya mwaka 1993, kitabu original kipo katika kiingereza na kilitungwa na Shakil Ahmed Munir mwaka 1978 huko Nigeria, chini ya ; Ahmadiyya Muslim Mission, 45, Idumagbo Avenue, S.L.P 418, Lagos, Nigeria.

Chapa ya kwanza ya tafsiri yake kwa kiswahili imetoka mwaka 1980 huko kenya Chini ya jumuiya ya Waislamu waahmadiyya, S.L.P 40554, Nairobi, Kenya.

Hii edition niliyonayo ni ya mwaka 1993 imetolewa na Jumuiyya ya Waisilamu wa Ahmadiyya S.L.P 376 Dar es salaam, Tanzania.

Katika kitabu hiki Sijaonaa anuani zaidi ya hizo nilizoweka hapo juu, nadhani kwa mawasiliano ya jinsi ya kukipata hapa Tanzania unaweza kuwasiliana na Jumuiya ya Ahmadiyya popote pale ambapo kuna tawi la jumuiyya hiyo hapa nchini au unaweza kutafuta E mail adress ya makao makuu ya jumuiya ya Ahmadiyya Tanzania ili kuulizia kitabu hicho.

Binafsi yangu nimeona ni kitabu kizuri sana kimeelezea kwa kina juu ya hiyo sanda ya Yesu (Shroud of Turin) na kwa vipi inahusushwa na Yesu na kwa ushahidi uliowazi wa vituo vya kimataifa vya uchunguzi vilivyopewa ruhusa na kanisa katoliki kuifanyia uchunguzi hiyo sanda.

Pia kinaeleza habari iliyofichikana/iliyofichwa juu ya Safari ya Yesu baada ya tukio la msalaba [NI HABARI YA KUSHANGAZA SANA ILIYOJAA USHAHIDI MTUPU].

Jambo lingine kubwa lililofichikana/lililofichwa ni maisha ya Yesu katika nchi nyingine ya mbali baada ya tukio la msalaba hadi alipofariki huko katika hiyo nchi na kaburi lake lipo katika hiyo nchi hadi leo hii, umewekwa ushahidi wa kihistoria, kifupi ni kwamba Yesu hakupaa mbinguni kama inavyoaminiwa kimakosa na watu wengi duniani.

Nimekudonolea kidogo tu ni bora tafuta kitabu hicho usome wewe mwenyewe.
 
Hicho kitabu nilichonacho ni edition ya mwaka 1993, kitabu original kipo katika kiingereza na kilitungwa na Shakil Ahmed Munir mwaka 1978 huko Nigeria, chini ya ; Ahmadiyya Muslim Mission, 45, Idumagbo Avenue, S.L.P 418, Lagos, Nigeria.

Chapa ya kwanza ya tafsiri yake kwa kiswahili imetoka mwaka 1980 huko kenya Chini ya jumuiya ya Waislamu waahmadiyya, S.L.P 40554, Nairobi, Kenya.

Hii edition niliyonayo ni ya mwaka 1993 imetolewa na Jumuiyya ya Waisilamu wa Ahmadiyya S.L.P 376 Dar es salaam, Tanzania.

Katika kitabu hiki Sijaonaa anuani zaidi ya hizo nilizoweka hapo juu, nadhani kwa mawasiliano ya jinsi ya kukipata hapa Tanzania unaweza kuwasiliana na Jumuiya ya Ahmadiyya popote pale ambapo kuna tawi la jumuiyya hiyo hapa nchini au unaweza kutafuta E mail adress ya makao makuu ya jumuiya ya Ahmadiyya Tanzania ili kuulizia kitabu hicho.

Binafsi yangu nimeona ni kitabu kizuri sana kimeelezea kwa kina juu ya hiyo sanda ya Yesu (Shroud of Turin) na kwa vipi inahusushwa na Yesu na kwa ushahidi uliowazi wa vituo vya kimataifa vya uchunguzi vilivyopewa ruhusa na kanisa katoliki kuifanyia uchunguzi hiyo sanda.

Pia kinaeleza habari iliyofichikana/iliyofichwa juu ya Safari ya Yesu baada ya tukio la msalaba [NI HABARI YA KUSHANGAZA SANA ILIYOJAA USHAHIDI MTUPU].

Jambo lingine kubwa lililofichikana/lililofichwa ni maisha ya Yesu katika nchi nyingine ya mbali baada ya tukio la msalaba hadi alipofariki huko katika hiyo nchi na kaburi lake lipo katika hiyo nchi hadi leo hii, umewekwa ushahidi wa kihistoria, kifupi ni kwamba Yesu hakupaa mbinguni kama inavyoaminiwa kimakosa na watu wengi duniani.

Nimekudonolea kidogo tu ni bora tafuta kitabu hicho usome wewe mwenyewe.
Okeyy sawa sawa mkuu
 
"Wakati mmoja nliketi nikimsoma, Mtaalamu wangu Leornardo DaVinci halafu nikakutana na makala zinazomuelezea yeye kwa namna ya kumkosoa ya kwamba huenda aliupumbaza ulimwengu kwenye mambo mengi sana likiwemo hili, la Sanda aliyovikwa bwana Inayoonesha Sura yake. How? Karne ya 16 huyu bwana aliwezaje?

Lakini, sawa tunakubali Da Vinci alikuwa mwanadamu mwenye akili sana na Mbobezi wa Kuchora lakini vipimo kadhaa vinaonyesha athari za picha hiyo hazikuwa za kuchora bali ni picha halisi zinazoakisi ya kwamba kuna kiumbe kilivikwa nguo hizo na kama kweli Leornardo DaVinci alifanya ghilba basi alicheza mchezo ambao unabaki kuthibitisha kiumbe huyu alikuwa na akili isiyo kifan
i"

Mkuu,kwanza hongera kwa makala hii nzuri,ila hayo maelezo hapo juu sijayaelewa,Leonardo Da Vinci anahusika vipi na hio Sanda?
Ni kwa vipi aliuhadaa ulimwengu?Je alichora hio picha iliyopo kwenye Wanda au vipi?
Sawa shukraani
Naomba uungane nami katika sehemu ya pili
 
Safi sana. Shemu ya pili ni-'tag' Mkuu.
Ipo mkuu soma hapa

 
Back
Top Bottom