Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,409
- 102,309
Jobless sija pata kazi leo🤒
Mkuu Asante kwa sarcasm zako, nipe hata ulinzi Basi🤒Kumbe huwa una kazi...
Hongera sana,Mr jobless
Nitakupa kazi gani mtu humfahamu?Mkuu Asante kwa sarcasm zako, nipe hata ulinzi Basi🤒
Madawa 🤣🤣🤣, mkuu USI thubutu maana UTA Rogwa🤒Nitakupa kazi gani mtu humfahamu?
Nitakuiba nikusafirishie madawa tumboni kijana.🤣
Huna hofu na binadamu wa JF?Madawa 🤣🤣🤣, mkuu USI thubutu maana UTA Rogwa🤒
We nipe deal, kuhusu binadamu wa jf- I met few of them wako poa.Huna hofu na binadamu wa JF?
Mimi ni jambazi,jangili,Drug smuggler na hapa lazima nikutumbue tumbo to mexico.
Uko tayari nikupatie kazi?🤣
Nahofia deals zitakudhuru kijana mdogo hata ngumi huwezi rusha.We nipe deal, kuhusu binadamu wa jf- I met few of them wako poa.
👉 Killing me isn't easy as you think.
Uki taka kuni piga ndo uta jua, nina mafunzo ya taikondo na mieleka.Nahofia deals zitakudhuru kijana mdogo hata ngumi huwezi rusha.
Ushukuru Mungu uliokutana nao ni wakarimu ila mimi binadamu wa hatari,intimidating from looks to soul na matendo ya unyama.
Usisahau kumuaga mama ukiwa tayari,sawa kid?🤣
Hii ndio inanifanya nifahamu nawasiliana na kijana wa aina gani🤣Uki taka kuni piga ndo uta jua, nina mafunzo ya taikondo na mieleka.
👉nita kubonda, leta deal nasubiri Sasa🤒
Mkuu niko nanjilinjii 🤒, so Ina bidi mpaka nisafiri.Hii ndio inanifanya nifahamu nawasiliana na kijana wa aina gani🤣
Ok,fika hapa tandale chaap chaap tugawane maarifa.
So deal ikufuate ulipo?Mkuu niko nanjilinjii 🤒, so Ina bidi mpaka nisafiri.
👉Afu uko tandale, nita kuwa namu ulizia Zulu man was if au😃🤣🤒
Soon bro, sema kwa hizo threat acha Nita fute Glock 30 🤒.So deal ikufuate ulipo?
Ukifika utapata maelekezo ila kimuonekano i got sword slashes on my face,a gunshot scar on the left cheek na tattoo kwenye kiini ya macho.
How can you survive na hizo 10 rounds kwa mtu usiyefahamu anatokea wapi?Soon bro, sema kwa hizo threat acha Nita fute Glock 30 🤒.
1 shot - 4 targets, au nije na magnum 😃🤒How can you survive na hizo 10 rounds kwa mtu usiyefahamu anatokea wapi?
R.I.P 🤣
Vyovyote utakavyo.1 shot - 4 targets, au nije na magnum 😃🤒