Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,116
- 454,355
Nilikuwa nasoma huku nacheka najisemea hii sio kichwa ya auntie ya kawaida ipo na mambo mambo
Imagine Auntie...
Kichwa kilikuwa safi kabisa....
Ni kama niliona analeta story hazipo....
Nilikuwa nasoma huku nacheka najisemea hii sio kichwa ya auntie ya kawaida ipo na mambo mambo
Imagine Auntie...
Kichwa kilikuwa safi kabisa....
Ni kama niliona analeta story hazipo....
Uzee jamani we mzee ataniteka nani kibibi gagula mimi
Na vile wazee mnavyojua kuteka jamaniUnatekwa na mzee mwenzio kama mimi ...
Nilikuwa nasoma huku nacheka najisemea hii sio kichwa ya auntie ya kawaida ipo na mambo mambo
wee mbna sijawahi ona? Hiyo mada ilimgusa sanaaa,. Ko aliambiwa mshamba kisa haendi Buza kwa RulengeeWeeeee kuna siku anakomentigi sasa Kuna komenti yake moja ya kuambiwa aache ushamba wa kula jicho watu tulishangaaaa kweli!!
Hao wapole waonege hivohivo tu wanakuaga Nyokko sana kwenye kusimamia ukucha
Ndiooooo tena eti alichekwa kabisa!!wee mbna sijawahi ona? Hiyo mada ilimgusa sanaaa,. Ko aliambiwa mshamba kisa haendi Buza kwa Rulengee
khaaaaahNdiooooo tena eti alichekwa kabisa!!
[mention]mkwepu jr [/mention] apewe tuzo hata ukimwambia leo namla demu wako yy ana like tu