AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
I will definitely keep distance!
100% mana nako kupenda mioyo imetofautiana.... kuna mwingine unapenda all the way... haitakiwi uthubutu kumsongelea.... But wengine kweli waweza manage...
I will definitely keep distance!
Dear kwani hakuna marafiki wengine wakuwa nao mpaka yy tu jamani?
Embu acha uswahili...kutokulala n mwanamke unaeongea nae hakukufanyi bw.ege!!!Mi nna hasira zaidi!Wazungu ndio wana tabia hizi na hii inatokana na wao kuwa na uhaba wa nguvu za ngono , Mimi bana katiba yangu inasema ukaribu wa mwanamke na mwanamme rijali ni ngono tu, huyo mwanamke wenyewe atakuona b w e g e eti mnapigiana simu mnaanza kuulizana rangi za mauwa na maduka yanayouza makufuli quality halaf mnakata simu , aaaarghhhh mawasiliano na ex haikubaliki popote.
JF Emotional censor detection: hii post nimeandika nikiwa na hasira kweli.
tunaongelea wanaume rijali hapa, lazima uelewe. hivi unajuwa kwanini wazee wa zamani walizuia hata mzee wa kiume kumuogesha mtoto wake wa kike? heheheEmbu acha uswahili...kutokulala n mwanamke unaeongea nae hakukufanyi bw.ege!!!Mi nna hasira zaidi!
Kwasababu ya mfumo dume....hivi urijali maana yake ni nini???tunaongelea wanaume rijali hapa, lazima uelewe. hivi unajuwa kwanini wazee wa zamani walizuia hata mzee wa kiume kumuogesha mtoto wake wa kike? hehehe
kwakweli yani swty hut unamawzo yangu kabisaaaaaaaa,mawasiliano ya nn?ili iweje?yani ni sawa na umeacha kazi sehem ukapata sehem nyengine lkn kutwa uko office ya zamani kama bado unaipenda si upeleke applications upya?
Waiting 4 ur Pm tupige udaku sie
Ungeandika kichwa cha uzi kwa kiswahili ingekuwa nzuri sana na nina imani ungeeleweka tu. Inakuwa kama filamu zetu za kibongo bwana kichwa kiingereza lakini filamu ya kiswahili au na wewe ni mtunga filamu??
mmmmhh FL1! maisha hayendi hivo bana,hata kama mtu mnaachana bado ni binadamu kama wewe. Maumivu ya kuachana kweli ni makali lakini kumbuka siku zote TIME HEALS.Katika maisha jitahidi kuongeza marafiki na kupunguza maadui,ni heri ex awe rafiki kuliko awe adui maana katika maisha hujui mtakutana wapi. Baada ya miaka 16 ya kuachana kuna ex wangu alidakwa na manjagu huwezi amini mimi ndo nilimtoa lupango,hakuamini.
Kaka mdogo....hii tabia imezoeleka sana hapa JF........sijui kwanini watu hawapendi kukienzi kilugha cha Nyerere? Damn!
Kaka mdogo....hii tabia imezoeleka sana hapa JF........sijui kwanini watu hawapendi kukienzi kilugha cha Nyerere? Damn!
Ungeandika kichwa cha uzi kwa kiswahili ingekuwa nzuri sana na nina imani ungeeleweka tu. Inakuwa kama filamu zetu za kibongo bwana kichwa kiingereza lakini filamu ya kiswahili au na wewe ni mtunga filamu??
Kwa kiswahili ni:Location: Maternity Ward
kiswahili?