Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,730
- 13,099
Mkuu waache tu.. nikiona testimony za watu hapo sijaona sababu yoyote ya dr kukupa dawa ambazo hazikusaidii kwa maksudi...
Siku wakikaa hosiptali hata siku moja ndio watajua ni namna gani watu wanakesha usiku kucha kuokoa maisha...hakuna binadamu wa kawaida ambaye anaweza kufurahi anapoona binadamu mwenzake anakata roho..
Labda kama mshana jr anafanya tangazo la biashara kwa ajili ya kiringe chake..
Lkn hakuna doctor anayetoa dawa ili kumuua mgonjwa maksudi
Mkuu hujui tu kinachoendelea, angalia sana madaktari siku hizi kwenye magari yao wanatembea na dawa tofauti tofauti kama samples wanazopewa na watu wanaouza dawa, unajua wanachozifanyia? Mungu atunusuru tu