Shocking! Nusu ya vifo hutokana na maelezo ya daktari

Mshana umeongea kabisaaaaaaa,nimepata Vidonda kimasihara masihara tu,nimerundikiwa madawa ya ajabu huku ugonjwa hauonekan kisa tu ni kujiskia maumivu.mpaka mwaka Jana mwishoni nikaanza kuambiwa na Vidonda vinavyonitesa sanaaa,yote hii nimekuja gundua ni madawa walokua wananipa.PIA KUNA HAWA WAKOREA WANAJIDAI KUTOA DAWA ZA MITI SHAMBA KUMBE WAONGO WANATOA DAWA ZA HOSPITAL PASIPO KUANDIKA JINA LA DAWA NA VIPIMO.NAO WANASABABISHA MADHARA MAKUBWA SANAAA,WENGI WANAPATA MAGONJWA MAKUBWA SANAAA.

KWELI MSHANA MIILI YETU INATUMIKA VIBAYA SANAAA.MARA MIA TIBA ZETU ZA ASILI ZINAMSAADA MKUBWA KULIKO HOSPITAL
 
Hivi hua ni kwanini,kinachomuua ni mawazo au ugonjwa unashamiri baada ya kugundulika?
1.hofu
2.vipimo... Vina mionzi mikali sana
3. Mapambano kati ya vimelea vya ugonjwa na chemikali za dawa ndani ya mwili dhaifu
 
Na huu ujumbe uwafikie wale wanaopenda kupimapima magonjwa yasioyokua na tiba kama ukimwi cancer etc. Wengi wakishapima hasa cancer huwa hawachukui round wanapotea.
Kinachoua watu wengi wenye cancer ni dawa ya kansa ya chemotherapy, ukipigwa ile survival rate yako ni miaka 3, alafu wengi hufa ndani ya siku 30 baada ya chemotherapy.

Unakuta mtu ni mzima kabisa na anafanya shughuli zake, akipigwa chemo tu anadhoofu hata zile kazi alikua anafanya zinamshida, mwisho anakufa.

Chemo watu wengi huikataa, maana ni kansa ndani ya kansa, inapunguza uvimbe wa kansa huku inatengeneza kansa nyingine.

Pharmacistical companies za ulimwengu wa kwanza wao wako kwenye faida na sio kukutibu wewe upone, ukipona ni bahati yako, wao wanaangalia faida hata kama unalishwa sumu.
 
Kinachoua watu wengi wenye cancer ni dawa ya kansa ya chemotherapy, ukipigwa ile survival rate yako ni miaka 3, alafu wengi hufa ndani ya siku 30 baada ya chemotherapy.

Unakuta mtu ni mzima kabisa na anafanya shughuli zake, akipigwa chemo tu anadhoofu hata zile kazi alikua anafanya zinamshida, mwisho anakufa.

Chemo watu wengi huikataa, maana ni kansa ndani ya kansa, inapunguza uvimbe wa kansa huku inatengeneza kansa nyingine.

Pharmacistical companies za ulimwengu wa kwanza wao wako kwenye faida na sio kukutibu wewe upone, ukipona ni bahati yako, wao wanaangalia faida hata kama unalishwa sumu.
Nilisikia pia hiyo chemotherapy ndo inamalizaga maisha.
 
Mshana umeongea kabisaaaaaaa,nimepata Vidonda kimasihara masihara tu,nimerundikiwa madawa ya ajabu huku ugonjwa hauonekan kisa tu ni kujiskia maumivu.mpaka mwaka Jana mwishoni nikaanza kuambiwa na Vidonda vinavyonitesa sanaaa,yote hii nimekuja gundua ni madawa walokua wananipa.PIA KUNA HAWA WAKOREA WANAJIDAI KUTOA DAWA ZA MITI SHAMBA KUMBE WAONGO WANATOA DAWA ZA HOSPITAL PASIPO KUANDIKA JINA LA DAWA NA VIPIMO.NAO WANASABABISHA MADHARA MAKUBWA SANAAA,WENGI WANAPATA MAGONJWA MAKUBWA SANAAA.

KWELI MSHANA MIILI YETU INATUMIKA VIBAYA SANAAA.MARA MIA TIBA ZETU ZA ASILI ZINAMSAADA MKUBWA KULIKO HOSPITAL
Pamoja na kwamba kupima afya ni muhimu na kupata tiba sahihi pia ni muhimu lakini kubwa kuliko yote ni kumpata tabibu mkweli
Miaka kama saba nyuma ndugu yangu alienda hospital kufika vipimo vikaonesha ana tatizo la shinikizo la damu, hivyo akashauriwa aanze tiba pia aache kutumia pombe na sigara.... Na arudi kwa checkup baada ya mwezi mmoja

Jamaa alipotoka pale hakuchukua dawa... Na akaendelea na maisha yake ya sigara na pombe... Baada ya mwezi kurudi kucheki yuko vizuri hana tatizo tena.... Dokta akashangaa mno... Ila jamaa hakumficha akamwambia hakuwahi kutumia dawa yoyote
Unajua yule tabibu alimwambia nini!? Una bahati kubwa... Ungeanza tu kutumia zile dawa usingeweza kuacha tena
 
kama ilivyo kwamba magonjwa si mpango wa MUNGU kwetu wanadamu ndivyo ivyoivyo madawa na mahospitali sio mpango wa MUNGU. aliyeleta magonjwa shetani na madawa na mahospitali huyohuyo shetani, unadhani kuna salama hapo? ukitaka kuamini nisemayo wewe jitahidi ufanikiwe kwa mambo ya rohoni uone jinsi utakavyo fanikiwa kwa mambo mengine yote na kuwa na afya.
 
kama ilivyo kwamba magonjwa si mpango wa MUNGU kwetu wanadamu ndivyo ivyoivyo madawa na mahospitali sio mpango wa MUNGU. aliyeleta magonjwa shetani na madawa na mahospitali huyohuyo shetani, unadhani kuna salama hapo? ukitaka kuamini nisemayo wewe jitahidi ufanikiwe kwa mambo ya rohoni uone jinsi utakavyo fanikiwa kwa mambo mengine yote na kuwa na afya.
nchi bado ina safari ndefu
 
namkumbuka Dr Godman(marehem) aliwahi kuniambia dawa nyingi Africa ni mbovu na nyingi kwa ajili ya majaribio tuu! na nchi za ulaya wana dawa zao ambazo kuzipata kwa nchi za africa sio rahisi! hizo huuziwa wananchi wao tuu NOT FOR EXPORT
 
namkumbuka Dr Godman(marehem) aliwahi kuniambia dawa nyingi Africa ni mbovu na nyingi kwa ajili ya majaribio tuu! na nchi za ulaya wana dawa zao ambazo kuzipata kwa nchi za africa sio rahisi! hizo huuziwa wananchi wao tuu NOT FOR EXPORT
 
Lakini pia kuna hili la national policies... Hizi za kisiasa.... Tangu miaka ile ya 60 tukitumia quinine kama tiba komesha ya malaria mpaka leo hii tuko kwenye mseto je rate ya malaria imeshuka ama imepanda?
Kila wakati inaletwa dawa mpya na pengine kwa majaribio na kutangaziwa kuwa ndio tiba bora baada ya ile ya kwanza kuwa sugu
Ni wangapi wamesahau mseto za kwanza zilivyowaumiza watu tena wengine wakiachwa na vilema vya kudumu!? Achilia mbali vifo
 
namkumbuka Dr Godman(marehem) aliwahi kuniambia dawa nyingi Africa ni mbovu na nyingi kwa ajili ya majaribio tuu! na nchi za ulaya wana dawa zao ambazo kuzipata kwa nchi za africa sio rahisi! hizo huuziwa wananchi wao tuu NOT FOR EXPORT
Na wanafanya hivyo kwakuwa third world countries hatuna utaratibu wa kudai fidia kutokana na madhara yatokanayo na ushauri ama tiba ya daktari. ... Kwa wenzetu huko hilo ni jambo kubwa sana
 
Back
Top Bottom