Shirika la posta lapoteza 1.2 billion ndani ya siku 18 tu

Shirika la posta lapoteza 1.2 billion ndani ya siku 18 tu

Nafikiri kirahisi zaidi wangeweka access ya kulipia ndani ya hiyo system, ambapo may be anayeomba kazi angetakiwa kulipia hata kwa mpesa 5hen access ya kuendelea ku submit application yake inakuwa active., kwa kufanya hvyo wangekuwa wameshughulika na hilo kwa digitalized way

Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo ni rushwa mkuu.
 
GharamA zipi Mkuu ,kwani scanning and sending vilitumia pesa au maji
Watu wanatafuta kazi badala ya kuwa tafuta njia za kuwapunguzia makali ya maisha wewe unawatafutia njia za kuwaongezea ukali wa maisha.

Kwa watu wenye fikra kama zako, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wapendwa katika bwana,naomba kuwasilisha hoja

Kwa mwezi wa pili tarehe 27/02/2018 serikali kupitia ofisi ya rais -TAMISEMI ilitangaza ajira za walimu takribani 45,000. Ambapo waombaji walitakiwa kuomba kwa njia ya mtandao.


Watu walipewa siku 18 kuwasilisha maombi yao ,ambapo jumla ya waombaji 91,000 walijitokeza kuwania nafasi hizi,ambapo ikiwa ofisi ya rais-TAMISEMI ingewataka waombaoji kutuma maombi yao kwa njia ya posta ,tuchukulie kila bahasha kwa mfumo wa EMS kulingana na wingi wa viambato kila bahasha ingalighalimu kiasi kisichopungua 11,500 x waombaji 91,000 = 1,046,500,000/= hivyo shirika letu la posta lingepata kiasi hicho cha fedha kwa muda Wa Sikh 18 tu.

Kwa hali hii naiomba serikali yangu kuwa makini katika kukusanya mapato ili kuhakikisha mashirika yetu ya umma yanapiga hatua hivyo kuweza kusonga mbele kimaendeleo.

Ushauri wangu ni kuwa serikali ihimize nyaraka zote za serikali zitumwe kwa njia ya posta ili kuliinua shirika letu kiuchumi
Lakini nashauri wizara ya OR-TAMISEMI na wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuweza kufanikisha hili jambo


Ahsanteni.



Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu unafikiria kijima sana. Leave all the options free....watu wachague. Shirika la Posta lazima liwe creative ili liweze kuendelea kuwepo.
Litabebwa hivyo mpaka lini?
 
Ili kuchambua hayo maombi 91,000 inabidi uwe na watu si chini ya 1,000 ambao wangeyapitia moja moja na kuchuja kwa muda uliokuwa umepangwa ambapo pia Wizara ingetumia gharama kubwa kuendesha huo mchujo. Wakati kwa njia ya kielektroniki iliyotumika unahitajika uwe na watu kama watano tu kufanya hiyo kazi. Nadhani hiyo ndiyo mantiki iliyozingatiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ni ubunifu unapopanga mikakati ya biashara lazima ufahamu mazingira ya nje yapoje, yanakuathiri kwa namna gani na una adapt vipi; ukishindwa its only a matter of time kabla biashara yako aijafa.

Evolution ya technology kama e-commerce (leo inafanya maduka ya high street kufungwa), e-mail (imepunguza sana volumes za barua), online streaming kama Netflix (imeua biashara ya kukodisha sinema), whats-up calls (imepunguza sales volumes za makampuni ya simu), etc.

Wale wanaobaki siku zote utafuta mbinu nyingine za kupata faida, mkitaka serikari iwe inazuia kila kitu swali lina kuja hao wakurugenzi wameajiriwa kwa ubunifu wao au kujaza nafasi tu.

Isitoshe barua pia kuna changamoto za kuanza kufile na kutunza kumbukumbu, hiyo serikari yenyewe sasa hivi ipo kwenye harakati ya kuamisha hayo mafile yake kwenye electronic systems kuondoa gharama za matunzo, halafu wewe unawaambia wapokee barua kisa posta ipate faida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom