Shinyanga university

Jana hawakutangaza tena Mkuu wa Chuo.....sijui nini kimetokea
 
hohohohohoh ohohohoh huhuhuhuh!!!!
 
Mkuu uliyeweka UDOM....ni kweli hilo limetendeka na hatukatai....tatizo ni kuwa badala ya kwenda mbele CCM inazidi kurudi nyuma...

Kwa kawaida huwa haturudi nyuma bali huwa tunakwenda mbele. Tungekuwa tunarudi nyuma tusingekuwa na mwaka 2010. Hata Rome haikujengwa kwa siku moja na ule mbuyu pamoja na ukubwa wake lakini ulianza kama mchicha.

Wanashinyanga ichagueni CCM ili nanyi mpate chuo kikuu cheni kama Wanadodoma.

******************************************************************************************************
USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO NA ZIMWI LIKUJUALO HALIKULI LIKAKWISHA

******************************************************************************************************
Enyi Wanashinyanga msiiache CCM, kwani CCM ni mbachao yenu. Enyi Wanashinyanga msiiache CCM, kwani CCM ni zimwi linalokujeni hivyo haliwezi likakuleni hadi likakumalizeni.

:welcome:
 
hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....!!!!!!!!!!! jamani wengine tuna matatizo ya migongo, so haturuhusiwi kucheka sana..))
hahhahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Nimesheeeeka LOL! Mkuu wa chuo U-SHY si mwingine bali ni CHITALILOOOOOOO... MZAWA WA SHY... Mstaafu wa BUCHOSAAAAAA...
 
>>>MY GODNESS ARE YOU SERIOUS SAFARI NI SAFARI?
>>>iS THIS A REALITY?
>>> iSNT A JOKE?
 
admin na madarasa ni kolandoto, msosi ni Maganzo, kulala ni Mwadui kwenye magofu ya compa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…