Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
- Thread starter
- #41
Malekechara hawajapatikana mpaka leo
admin na madarasa ni kolandoto, msosi ni Maganzo, kulala ni Mwadui kwenye magofu ya compa
Du Masika ww ndio umenishtua unajua nilishafika hata kwenye google hichi chuo ni cha lini, ku-click anwani si nikaletwa tena hapa, na nikaambiwa ni kanyanga mm sitii neno tenakumbe niko kwenye jukwaa la utani/jokes nlifikiri yasemwayo ni kweli
]
Hahahaaaa...!
Ni wapi hapa mkuu?
Picha bomba na inatenda haki kwa idara ya raha ndani ya ubongo!
hapa ni wapi???
kolandoto?sehemu gani?nahisi sio kolandotoKolandoto