mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Dereva akikanyaga mbav za mbwa na akijaribu eithe kushika brake au kuirejesha gari basi hapo utaona gari imeanza kukatika mauno na mwisho wake ni kuzunguka mara kibao. Zile za PSU zimetengenezwa maalumu lakini hizi za kawaida zinakuwa nyepesi sana.
Sina uhakika na unachokisema maana nimeendesha V8(sio yangu, raia hawachelewi kuchonga ngenga humu) lkn sikuwahi kuona hicho ulichokisema.
Na hilo tatizo la hizo v8 ni kwny series LC200 tu au hata kwny lc 100/105 series?