Natafuta kiki
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 913
- 1,297
Nenda kahama hutojutia.
Nenda kahama hutojutia.
TaboraKahama sijataka kupazungumzia sababu katika hizo sehem mbili nilizozitaja hakuna panapoweza kulinganishwa na kahama kwa lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabora
Mkuu KINONDONI SIO WILAYA?Tabora haiwezi kuifikia kahama mkuu.
Ndo maana sikutaka kuizungumzia japo iko ndani ya shinyanga.
Maana kwa Tanzania nzima ni mikoa michache sana inayoweza kuifikia kahama kwa mzunguko wa pesa. Huduma zote za kijamii kumbuka kuwa kahama ndo wilaya pekee yenye matawi ya bank zote kubwa hapa Tz pamoja na mabasi ya kwenda kila mkoa na nchi jirani pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabora kuzuri, shida ya Tabora ni mzunguko wa pesa kama walivyosema wadau
Mgogoro wa serikali na makampuni ya tumbaku umewaathiri sana wakazi wa tabora
swala la ukame ni kwa baadhi ya wilaya kama igunga na nzega na hili limechangiwa na jirani zetu wasukuma, hawa jamaa ni wavamizi wa maeneo na wakiingia sehemu wanahakikisha wamemaliza miti yote halafu wanahama kwenda kuharibu kwingine
Nafikili Agrey Mwanri atawadhibiti.
Vichaa wengi Tabora si hasa kutokana na ulozi, bali uvutaji wa bangi. Bangi hulimwa aghalab katikati ya zao la tumbaKu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hao vichaa sio bangi ni ulozi
Nimekaa hapo Tabora miaka minne nimeuliza sana hilo wamenimbia hao ni wezi wakiiba wanarogwa ndio maana unaona vichaa wengi
Makokora
Ipuli
Isevya
Tabora Town
Watu watabora wanyamwezi waswahili sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Shinyanga na Tabora pote ni semi desert climate iwaje unasema Shinyanga pakame
Je Tabora na Shinyanya wapi pako karibu na Ziwa Vickitoria Hujui maeneo ya karibu na water bodies yanapata mvua nyingi zaidi through out the year
Tabora na Shinyanga pote pamekaa kizee kizee kabisa Tena Shinyanga ianazidiwa na baadhi ya wilaya zaka
Tabora na penyewe ipamekaa kimagumashi tu Mzunguko wa pesa pote huko Tabora na Shinyanga Mdogo
Labda ungeuliza wilaya zake Kahama Na Nzega ndio zina future mbeleni
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Tabora fursa ni nyingi sana kuliko Shinyanga.
2 Tabora is one of the cheapest town to live in tanzania
3 Weather kwa Tabora ni moderate haina joto sana wala baridi sana so ni ideal place for residence.
4 Maji Tabora siyo shida cause unaweza kuchimba kisima chako na maji ukapata ya kunywa bila shida.
5 Ardhi Tabora ni cheap kuliko Shinyanga na ipo ya kutosha sana.
6 biashara ni rahisi zaidi kutoka Tabora cause competition ni ndogo so any business you are likely to succeed.
7 Tabora ina mwingiliano wa watu mbali mbali ukilinganisha na Shinyanga ambayo 98% ya wakazi ni wasukuma tu who are so rigid kubadilika.
8 Tabora ni sehemu ambayo gharama za ujenzi ziko chini sana ukilinganisha na Shinyanga.
Etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn hapo umeisifia kahama kuwa ina branch za mabenki yote tofauti na wilaya zingine zote za TANZANIA hii.. ndio nimekukumbusha hapo KINONDONISwali lako ni zuri, ila hapa tunaizungumzia Shinyanga vs Tabora.
Asante kwa kushiriki katika mjadala huu.
Sent using Jamii Forums mobile app