IsaacMG
Member
- Dec 6, 2019
- 63
- 51
Habari wanaJf
Natumai mu wazima wa afya
Lengo la uzi huu ni kupeana mazuri ya na mapungufu ya mikoa hiyo miwili niliyoutaja katika nyanja zifuatazo.
- Mzunguko wa pesa
- Gharama za maisha
- Huduma muhimu za kijamii
- Mtindo wa maisha wa wakazi wa maeneo hayo
Je ni mkoa gani mzuri na wenye fursa pamoja unafuu wa maisha ikiwa pamoja tabia za wakazi wa mikoa hiyo miwili Tabora Mjini na Shinyanga Mjini.
Kumbuka nimelenga Mjini tu na si katika Wilaya zake.
Huu uzi utawapa mwanga wote wanaotaka kujilipua katika mikoa hiyo hususani katika swala zima la kusaka fursa.
Michango yenu ni muhimu sana kwa wenyeji wa mikoa hiyo au mliowahi kufika mikoa hiyo miwili
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai mu wazima wa afya
Lengo la uzi huu ni kupeana mazuri ya na mapungufu ya mikoa hiyo miwili niliyoutaja katika nyanja zifuatazo.
- Mzunguko wa pesa
- Gharama za maisha
- Huduma muhimu za kijamii
- Mtindo wa maisha wa wakazi wa maeneo hayo
Je ni mkoa gani mzuri na wenye fursa pamoja unafuu wa maisha ikiwa pamoja tabia za wakazi wa mikoa hiyo miwili Tabora Mjini na Shinyanga Mjini.
Kumbuka nimelenga Mjini tu na si katika Wilaya zake.
Huu uzi utawapa mwanga wote wanaotaka kujilipua katika mikoa hiyo hususani katika swala zima la kusaka fursa.
Michango yenu ni muhimu sana kwa wenyeji wa mikoa hiyo au mliowahi kufika mikoa hiyo miwili
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app