Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Hawa madiwani ni wasanii sana kesho utasikia wamekwenda NCCR Mageuzi, oil chafu inatumika tena njaa mbaya sana.
 
Na hili ni pigo baya sana kwa ccm na vibaraka wake. Wamesababisha wananchi wa kata husika wamekosa uwakilishi kwa siasa za hadaa na ghiriba.

Hilo ni pigo kubwa sana kwa CCM, hii ni dalili kuwa chadema itashika dola mwakani. Pipooooz
 
....

.....Chadema ni Mpango wa Mungu daima
shetani hataweza !!!!


attachment.php
 
ccm si pahala salama. bado shonza na mwampamba. .

CDM wako makini.
 
....

.....Chadema ni Mpango wa Mungu daima
shetani hataweza !!!!


attachment.php



attachment.php


....ccm ilishakufa bora melitambua hilo !!!

Hivi mkutano mkubwa kama huu ulihutubiwa na dr au kiongoz wa kawaida? Alafu hawa watu hawajasombwa kwa malori kama ccvm. Kwel nawaambia ccm someni alama za nyakati
 
Chadema ingewafukuzia mbali..

Hapana, kikichojengwa hapa ni kitu kikubwa sana.
Hawa madiwani wametapeliwa na CCM na leo wanerudi kuja kueleza kilichowakuta huko walikoenda sasa basi hili ni somo kubwa sana kwa wengine akiwemo Zitto na nduguze kina Shonza, Mwampanba na wengineo.
CCM ina WENYEWE nyie wengine ni vidampa TU.
 
Last edited by a moderator:
Hawa madiwani ni wasanii sana kesho utasikia wamekwenda NCCR Mageuzi, oil chafu inatumika tena njaa mbaya sana.

Mkuu.

Vipi na wale walio waahidi mafurushi ya fedha halafu wakawapa hela bandia huku wakiwaandalia mazingira ya kwenda kwenye ile Alliance for Cowards and Traitors?
 
Na hili ni pigo baya sana kwa ccm na vibaraka wake. Wamesababisha wananchi wa kata husika wamekosa uwakilishi kwa siasa za hadaa na ghiriba.

niliwahi sema madiwani wa arusha kamwe hawatamsahau #zitto hawa kidogo wamesthtuka inga wamechelewa
 
Watizamwe kwa uangalizi sana hao jamaa maana hawakawii kugeuka tena
 
Nilikuwa na Malya Jana msibani akaitwa Diwani wa kimandolu aje mbele akaangalia chini kumbe mchungaji alikuwepo ikasaidia maana ni full aibu.
 
Zamani CHADEMA isingewasamehe 'wasaliti' hawa

naona now imeanza 'kunywea' na inatumia 'diplomacy' kutatua matatizo...

if only ........

cc Pasco

Ni kama wassira na lamwai walivyorudi ccm!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom