Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Jamaa mmoja alikuwa amejipanga foleni katika shindano la kumpata mtu mwenye dick/pen*s ndefu zaidi.Alikuwa ni mtu wa nne kuingia na ndipo alipoikuta rula ya sentimeta 100.Rula ilikuwa imewekwa alama sehemu tatu na wale watu watatu waliomtangulia;23cm,29cm na 35 cm.Jamaa alipojipima urefu wa dick yake akafikisha 40cm,akaanza kushangilia akidhani amewafunika wenzake wote.Msimamizi akamwambia;kijana,wewe umejipima kuanzia mwanzo wa rula(0cm) kwenda mwisho wa rula(100cm) lakini wenzio watatu waliokutangulia wamejipima kuanzia mwisho wa rula(100cm) kurudi mwanzo wa rula(0cm) kwa hiyo wewe huna lolote,kajipange upya.