kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
mkuu ni kweli moja ya sababu sababu ukiuza nje wananunua kwa dola kwa hiyo tatizo letu tunaimport kwa kununua vitu nje kwa dola ndio maana dola imekua expensive sana na mbaya zaidi kuna baadhi ya mahoteli yanauza chakula kwa dola na kutoa huduma nyingine kwa diola na sisi hatuzalishi serikali ingekua na akili ingeimarisha nishati ya umeme na mafuta kwanza ili tuweze kuwa na viwanda vya kutosha kuzalisha na kutoa huduma kwa jamii kama vile bidhaa na ajira vinginevyo kila kukicha uchumi utazidi kuporomoka maana mgao nao umeshika kasi!
Niliwahi kusikia wachumi wanasema eti sababu mojawapo ya huo mporomoko ni kwamba: hatuuzi bidhaa zetu (i.e pamba, kahawa, katani, madini) njeya nchi kwa wingi kama tunavyonunua bidhaa toka nje......sijui km kuna ukweli ktk hilo!