matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 9,514
- 23,514
Tunaaminishwa kuwa nchi yetu inautajiri mkubwa. Hata mimi naamini hivyo ila cha kushangaza licha ya yote sijawahi kuonana au kusoma kijana chini ya miaka 30 ambaye ni Millionea. Wengi ni watu wazima.
Tatizo ni nini?
1. Watoto kukaa muda mrefu makwao wanaanza utafutaji ukubwani?
2. Rika hilo haliaminiki na taasisi za kifedhau au hawakopesheki mitaji mikubwa?
3. Wabongo umri huo hawana exposure na utajiri na mbinu za kutoboa.
Unadhani kwa nini vijana wengi chini ya umri wa miaka 30 sio mamilionea?
UPDATE:
Millionea ni nani?
refers to those whose assets total at least one million units of a high-value currency, such as the United States dollar, euro, or pound sterling.
Ni wale ambao thamanj za mali zao zina angalau uniti moja ya millioni ya fedha zenye thamani ya juu kama USD, Euro au pound.
Tatizo ni nini?
1. Watoto kukaa muda mrefu makwao wanaanza utafutaji ukubwani?
2. Rika hilo haliaminiki na taasisi za kifedhau au hawakopesheki mitaji mikubwa?
3. Wabongo umri huo hawana exposure na utajiri na mbinu za kutoboa.
Unadhani kwa nini vijana wengi chini ya umri wa miaka 30 sio mamilionea?
UPDATE:
Millionea ni nani?
refers to those whose assets total at least one million units of a high-value currency, such as the United States dollar, euro, or pound sterling.
Ni wale ambao thamanj za mali zao zina angalau uniti moja ya millioni ya fedha zenye thamani ya juu kama USD, Euro au pound.