Shilingi ya Tanzania kuipiku dollar ya Marekani

Shilingi ya Tanzania kuipiku dollar ya Marekani

hiram sinajinasasa Nichumu Nibebike

INAWEZEKANA KABISA NI KUAMAMUA TU LAKINI KAMA HAKUNA MIPANGO MADHUBUTI YA KUIMARISHA NA KUSIMAMIA SARAFU ITARUDI TENA KULEKULE KWA MWANZO.
Ni sawa mkuu...suala hapa ni je baada ya kufuta masifuri hiyo artificial fix itakaa muda gani?mfano pesa ya msumbiji metical walifuta masifuri kibao 2012.. $1=2500mt...Hivi sasa $1=7500mt yaani mara mbili ya ile ya mwanzoni!..kinachotakiwa ni kutengeneza mfumo wa uchumi wa nchi husika ili msirudi kulekule!

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Nagoma nipo customs hapa border ya Zambia na Tanzania' pesa ya z IPO chinii ksana ya bongo ni kubwa

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Huyo naona kachanganya Zimbabwe na Zambia.

Labda alitakakuandika Zimbabwe, akaandika Zambia.

Zimbabwe ndiyo nchi iliyobadilibadili pesa hivi karibuni.

Right now the Zim dollar is at 0.00276 USD while the Tanzanian shilling is at 0.00045 USD, the closer one comes to parity with USD the more valuable the currency in thois case.

Kwa hesabu nyingine 0.00276/0.00045= 6.1333...

The Zimbawe Dollar is 6.1333more valuable than the Tanzanian shilling now.

Just to check, this link gives the exchange rate at i USD = 361.9 Zim $
United States Dollar(USD) To Zimbabwe dollar(ZWD) Exchange Rates Today - FX Exchange Rate

361.9 x 6.1333 = 2219.65333...

Which is just about where the exchange rate for TZS/USD is.

United States Dollar(USD) To Tanzanian Shilling(TZS) Exchange Rates Today - FX Exchange Rate
 
Kwanza nashukuru kuiweka link hio hapa umenipa maarifa kidogo, but nataka nikuambie hivi hio article sio ya kweli na imeandikwa na mtu ambaye hajulikani, mathalani Bank ya Tanzania- BOT inamilikiwa na Serikali ya Tanzania-Muungano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibari (Namna walivyogawana unaweza fuatilia), so unaposema BOT inamilikiwa na Hio familia nimepata shida sana, Pia angalia comments zote kwenye hio article utaona ukweli wa mambo
Labda hilo neno Owned linaweza kuleta shida lakini kuwa controled na hao jamaa ni possible kabisa.
Sio lazima waje kukaa pale BOT kama enzi za ukoloni ili uamini. Sometimes tunao washauri toka huko nje waliotumwa na WB pamoja na IMF(nani wanaomiliki hizi taasisi 2?).
Kazi hasa ya Bank for International Settlements ni nini?
Ni kama vile UN na mashirika yake yalivyo kizungumkuti!
 
Ni sawa mkuu...suala hapa ni je baada ya kufuta masifuri hiyo artificial fix itakaa muda gani?mfano pesa ya msumbiji metical walifuta masifuri kibao 2012.. $1=2500mt...Hivi sasa $1=7500mt yaani mara mbili ya ile ya mwanzoni!..kinachotakiwa ni kutengeneza mfumo wa uchumi wa nchi husika ili msirudi kulekule!

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Sawa kabisa.

Na kutengeneza uchumi kunaanza na kuboresha ufanisi na kuongeza uzalishaji wa bidhaa na shughuli ambazo zitatakiwa kununuliwa na watu wa nje kwa sana ili kuongeza urari wa biashara mzuri na kujitegemea zaidi kwa watu wa ndani ya nchi.

Kwa mara nyingine tena.

Pesa ni makaratasi tu tuliyoyapa thamani.

Thamani halisi inatokana na uzalishaji zaidi, ufanisi zaidi, urari wa biashara za nje mzuri zaidi, kujitegemea zaidi etc.

Hatuwezi kukuza uchumi kwa kupandisha thamani ya pesa kwa nguvu, tukifanya hivyo tutaishia kushindwa kuuza nje hata kidogo tunachozalisha.
 
Haiwezekani mkuu, ni sawa na kusema tuongeze upana wa mipaka ya nchi hadi KENYA yote , Uganda yote Rwanda na Burundi tuite Tanzania!
hizi nchi zina wenyewe sio mali yetu, hata hizi currency zimeanzishwa na wenyewe, Kazi ya Benki kuu ni hiyo kuongeza au kupunguza value ya pesa. Tambua BOT si mali ya watanzania. Ni mali ya Illuminatti/Jesuits wa Vatican, Hao jamaa wanaimiliki hadi Federal Reserve bank ya USA za zingine zote Duniani...
wewe umejuaje wanamiliki
 
Back
Top Bottom