shigongo ni mwanaccm sikunyingi aligombea ubunge buchosa na Tizeba mwaka 2010 yeye akapigwa chini
shigongo ni mwanaccm sikunyingi aligombea ubunge buchosa na Tizeba mwaka 2010 yeye akapigwa chini
tofauti ya marehemu na hayati ni nn ? Si wote walifariki na kuzikwa ?
Kwa " umbwigiri " huu na wewe unajiita msomi? Hoja zako ni za kitoto kupita maelezo. Mbona husemi mgombea wenu ukawa alibambwa akimkanyaga 0713 serunkamba hotelini? au tuweke vitu hadharani? Na yeye lini ameacha tabia ya kupenda kuwabokoa wenzie 0713? Hivi akiwa rais hawezi kutuchana marinda yetu na sisi wanaume wengine?
Acha maneno ya kizushi wewe,ccm ilivyo na hasira na Lowassa haiwezi kumuacha akaishi kwa amani kama kweli alitenda au anatenda ujinga huo,kumbuka kuwa hadi sasa TISS imefuta likizo za maafisa wake wote ktk kile kinachoitwa rudini mumshughulikie Lowassa asishinde.
duuuh! aisee hapo umeua kabs mkuu nimecheka sana, jf bhana kama una stress zinaisha kbs.Mkuu yale ya kingunge hayakuwa mapenzi!
Bali ni mahaba niue!
Shigongo ni opportunist tu yule
Angalia aina ya habari ambazo magazeti yake yanaandika utajua huyu jamaa yupo kimaslahi zaidi
slaa yupi unayemsema? Huyu ambaye mlikuwa mnasema padri mzinifu? Lini haya mapenzi na slaa yameanza kwa watu wa ccm?
List of shame ilitoa majina karibia 11 na wote hawa mlikuwa mmewakumbatia kama mungu na kuna wengine ni mawaziri na rais, mbona mafisadi wengine mmekumbatia kama mungu?
Hivi ngoja ni kuulize ni lini ccm ilichukia ufisadi ? Hii ni sera yenu maana watu wanaiba mnawaambia warudishe
tena wewe ufunge domo chafu hilo kama mfereji wa maji ya chooni.