naikumbuka vizuri hii ishu ya mabibooo hostel, ila ngoja tuhifadhi maneno maana jamaa kashatubu kwa TB JOSHUA ya kale yamepita .Magufuli ajibu yafuatayo kwanza
1. Alikuwa analala mabibo hostel block H room 201 kwa nani ?
2.sundi yule geologist wa barrick kule north mara ni nani yake
3. Kwa nini kamuuzia sundi nyumba ya serikali masaki karibu na Cheyo kwa TZS 170,000/
4. Zile bil 320 alizosema CAG kwenye report ya ukaguzi mwaka huu zimekwenda wapi
5. Kile kivuko cha kutoka dar to bagamoyo alinunua kwa manufaa ya nani?
6. Zile bil 3 serikali iliyolipa wale wavuvi wa ile meli ya wachina ni ujinga wa nani kukurupuka kufanya maamuzi?
7. Kwa nini alitishia meneja wa Asshleff kumfukuza nchini kwa kukataa kumpa hongo wakati wa kujenga barabara ya Sumbawanga
8. Samunge alienda kunywa kikombe anaumwa nini? Na mbona anazidi kupauka ngozi kadri siku zinavyokwenda mbele?
9. Kwa nini alipelekwa na mkewe kwa askofu kulalamikiwa kwa mienendo yake ya hovyo?
10. Kwenye documentary yake ITV last week aliposema ana watoto kadhaa alikuwa ana maana gani?
11. Kama uliweza kufukuzwa katoke seminary kwa kuiba mananasi je ni lini umeacha tabia yako ya wizi?
eeee bhana eeee !!!! mkuu kigogo shikamoo ! mimi siongezi kitu .Magufuli ajibu yafuatayo kwanza
1. Alikuwa analala mabibo hostel block H room 201 kwa nani ?
2.sundi yule geologist wa barrick kule north mara ni nani yake
3. Kwa nini kamuuzia sundi nyumba ya serikali masaki karibu na Cheyo kwa TZS 170,000/
4. Zile bil 320 alizosema CAG kwenye report ya ukaguzi mwaka huu zimekwenda wapi
5. Kile kivuko cha kutoka dar to bagamoyo alinunua kwa manufaa ya nani?
6. Zile bil 3 serikali iliyolipa wale wavuvi wa ile meli ya wachina ni ujinga wa nani kukurupuka kufanya maamuzi?
7. Kwa nini alitishia meneja wa Asshleff kumfukuza nchini kwa kukataa kumpa hongo wakati wa kujenga barabara ya Sumbawanga
8. Samunge alienda kunywa kikombe anaumwa nini? Na mbona anazidi kupauka ngozi kadri siku zinavyokwenda mbele?
9. Kwa nini alipelekwa na mkewe kwa askofu kulalamikiwa kwa mienendo yake ya hovyo?eeee
10. Kwenye documentary yake ITV last week aliposema ana watoto kadhaa alikuwa ana maana gani?
11. Kama uliweza kufukuzwa katoke seminary kwa kuiba mananasi je ni lini umeacha tabia yako ya wizi?
masahihisho - nyerere siyo marehemu ni hayati .Hivi jamani mbona mazuri ya ccm hamyasemi?,huo ni upungufu wa kufikiri,na kudanganya watu,ni sawa na lowasa na baadhi mnaoshikilia kauri nusu ya marehemu nyerere eti mabadiliko yatapatikana nje ya ccm hammalizi kwamba ila raisi bora atatoka ccm hivyo ndivyo alivyosema marehemu nyerere,mnakaa kuwalisha watu sumu matango pori na uongo watu,dhambi ya uongo itawatafuna tu haswa tarehe ya uchaguzi subirini
Lete wosia !!! AchakulalamaHivi jamani mbona mazuri ya ccm hamyasemi?,huo ni upungufu wa kufikiri,na kudanganya watu,ni sawa na lowasa na baadhi mnaoshikilia kauri nusu ya marehemu nyerere eti mabadiliko yatapatikana nje ya ccm hammalizi kwamba ila raisi bora atatoka ccm hivyo ndivyo alivyosema marehemu nyerere,mnakaa kuwalisha watu sumu matango pori na uongo watu,dhambi ya uongo itawatafuna tu haswa tarehe ya uchaguzi subirini
Neno la Mungu ktk kitabu cha Mithali 14:12 linasema,ipo njia ionekanayo sahihi machoni pa mwanadamu lakini mwisho wake ni njia ya mauti,mdogo wangu tayari umesahau ulipotoka mara hii tu?
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuchukua kalamu na kuandika kuwa Magufuli ndiye suluhisho la matatizo ya watanzania?
Umejuaje wakati hata ikulu hajaingia? Kwanini umekuwa mtu wa kujipendekeza sana kwa serikali? Umesahau kuwa umaskini uliowatesa wazazi wako ulisababishwa na serikali ya CCM?
Hujui kuwa aliyekuinua wewe kiuchumi siyo CCM bali ni Mungu wako? Watanzania wenzako wanaoteseka na maisha magumu yaliyosababishwa na CCM umewasahau na kukumbatia serikali hii isiyo na upendo na watu.
Kwa taarifa yako CCM wanakupenda kwa kuwa unacho, ungekuwa kapuku usingemjua JK wala Pombe, wanakupenda kwa kuwa una media na unawafagilia.
Mtu yeyote mwenye hofu ya Mungu hachangamani na watawala wabovu na wala kunywa divai yao, hebu msome nabii Elia, unajiona uko sahihi sana kumbe unapita katika njia ambazo ni machukizo ya Mungu na hutaikwepa ghadhabu.
Kumbe Siku Hizi Ukimpigia Debe Mgombea Kwa Jinsi Unavyomkubali ni Makosa!? Yule Jamaa Wa Mawio Anayekesha kuandika Makala Mfululizo Kumuandama Zitto Kabwe Naye Kumbe Ni Wa Ajabu? Ninachoamini Mimi Kila Mtu Ana Uhuru Wa Kuamini Hata Kile Ambacho Anajua Hakiaminiki... Kumshambulia Shigongo Huku Mawio na Itv Zikiachwa Nikuonyesha ni Jinsi Gani Baadhi Ya Watanzania HAtuna Upeo mkubwa katika Tunalo lisimamia..
masahihisho - nyerere siyo marehemu ni hayati .
huyu shigongo ndiyo maana mimi binafsi nawaogopa sana watu wanaosema wamempokea bwana
hivi unaweza kumpokea bwana wakati unashabikia kundi la wezi wawakandamize waliowengi?
Huyu shigongo ni mtu wa kujipenyeza sana huyu
Neno la Mungu ktk kitabu cha Mithali 14:12 linasema,ipo njia ionekanayo sahihi machoni pa mwanadamu lakini mwisho wake ni njia ya mauti,mdogo wangu tayari umesahau ulipotoka mara hii tu?
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuchukua kalamu na kuandika kuwa Magufuli ndiye suluhisho la matatizo ya watanzania?
Umejuaje wakati hata ikulu hajaingia? Kwanini umekuwa mtu wa kujipendekeza sana kwa serikali? Umesahau kuwa umaskini uliowatesa wazazi wako ulisababishwa na serikali ya CCM?
Hujui kuwa aliyekuinua wewe kiuchumi siyo CCM bali ni Mungu wako? Watanzania wenzako wanaoteseka na maisha magumu yaliyosababishwa na CCM umewasahau na kukumbatia serikali hii isiyo na upendo na watu.
Kwa taarifa yako CCM wanakupenda kwa kuwa unacho, ungekuwa kapuku usingemjua JK wala Pombe, wanakupenda kwa kuwa una media na unawafagilia.
Mtu yeyote mwenye hofu ya Mungu hachangamani na watawala wabovu na wala kunywa divai yao, hebu msome nabii Elia, unajiona uko sahihi sana kumbe unapita katika njia ambazo ni machukizo ya Mungu na hutaikwepa ghadhabu.