Shigongo unajidhalilisha sana mdogo wangu

Shigongo unajidhalilisha sana mdogo wangu

Neno la Mungu ktk kitabu cha Mithali 14:12 linasema,ipo njia ionekanayo sahihi machoni pa mwanadamu lakini mwisho wake ni njia ya mauti,mdogo wangu tayari umesahau ulipotoka mara hii tu?

Hivi unapata wapi ujasiri wa kuchukua kalamu na kuandika kuwa Magufuli ndiye suluhisho la matatizo ya watanzania?

Umejuaje wakati hata ikulu hajaingia? Kwanini umekuwa mtu wa kujipendekeza sana kwa serikali? Umesahau kuwa umaskini uliowatesa wazazi wako ulisababishwa na serikali ya CCM?

Hujui kuwa aliyekuinua wewe kiuchumi siyo CCM bali ni Mungu wako? Watanzania wenzako wanaoteseka na maisha magumu yaliyosababishwa na CCM umewasahau na kukumbatia serikali hii isiyo na upendo na watu.

Kwa taarifa yako CCM wanakupenda kwa kuwa unacho, ungekuwa kapuku usingemjua JK wala Pombe, wanakupenda kwa kuwa una media na unawafagilia.

Mtu yeyote mwenye hofu ya Mungu hachangamani na watawala wabovu na wala kunywa divai yao, hebu msome nabii Elia, unajiona uko sahihi sana kumbe unapita katika njia ambazo ni machukizo ya Mungu na hutaikwepa ghadhabu.
Msamehe bure mkuu, kafilisika SERA hadi gazeti lake toleo la mwaka mzima anaandika historia ya maisha yake na familia yake MAKUBWA.......!
 
Hawa wahsabiki wa chadema huwa wananishangaza sana wanataka kila gazeti kila chombo cha habari kimuuunge mkono Lowasana na Ukawa hivi hii demokrasia ya aina gani?Lowasa ni Malaika?Uhuru wa habari ni kumsifia Lowasa tu??
 
Wavivu wa kufikir washafikia mwisho wao wa kufikir kwamba ccm hafai basi na chochote kije.

Wanaogopa kutafakar kwamba hiyo ukawa ubora wake ni upi hasa
 
Ivi shigongo ndo nani tumsikilize!? Akaandike vitabu vya mapenzi bhana.... smh
 
Dawa ni kuacha kununua hayo maudaku/ukuda
 
Neno la Mungu ktk kitabu cha Mithali 14:12 linasema,ipo njia ionekanayo sahihi machoni pa mwanadamu lakini mwisho wake ni njia ya mauti,mdogo wangu tayari umesahau ulipotoka mara hii tu?

Hivi unapata wapi ujasiri wa kuchukua kalamu na kuandika kuwa Magufuli ndiye suluhisho la matatizo ya watanzania?

Umejuaje wakati hata ikulu hajaingia? Kwanini umekuwa mtu wa kujipendekeza sana kwa serikali? Umesahau kuwa umaskini uliowatesa wazazi wako ulisababishwa na serikali ya CCM?

Hujui kuwa aliyekuinua wewe kiuchumi siyo CCM bali ni Mungu wako? Watanzania wenzako wanaoteseka na maisha magumu yaliyosababishwa na CCM umewasahau na kukumbatia serikali hii isiyo na upendo na watu.

Kwa taarifa yako CCM wanakupenda kwa kuwa unacho, ungekuwa kapuku usingemjua JK wala Pombe, wanakupenda kwa kuwa una media na unawafagilia.

Mtu yeyote mwenye hofu ya Mungu hachangamani na watawala wabovu na wala kunywa divai yao, hebu msome nabii Elia, unajiona uko sahihi sana kumbe unapita katika njia ambazo ni machukizo ya Mungu na hutaikwepa ghadhabu.

Napenda kusikitika sana kwa ww kumponda huyo shigongo, lakini pia na ww unbidi ujiulize sana na kutafakari sana, kama hapo ulipo unaiponda ccm, nadhani pia bila kuwa na amani usingekuwa unaandika hivi, ccm wapo madarakani ww unatoa wapi ujasili wa kumwamini mtu ambaye hajawai kutawala? Labda kama ni Baba yako au Mama yako2, huwezi kumwamini mtu kwa maneno yake ya mdomoni, mdomo ni rahisi sana kupamga mipango iliyo mizuri na si kuitekeleza, ndo maana inapofika nyakati za uchaguzi, lazima tutumie vichwa vyetu kufikiri na si kufikirishwa na kuaminishwa, tatizo la watanzania ni wepesi sana wa kuaminishwa na ni wepesi wa kulalamika pia.
 
Shigongo ni opportunist tu yule

Angalia aina ya habari ambazo magazeti yake yanaandika utajua huyu jamaa yupo kimaslahi zaidi

hata Mbowe ni opportunist tu ndugu yangu ameona hawana mgombea ndio akamsajiri Fisadi lowasa ni aibu kubwa duniani na hata mbinguni
 
Neno la Mungu ktk kitabu cha Mithali 14:12 linasema,ipo njia ionekanayo sahihi machoni pa mwanadamu lakini mwisho wake ni njia ya mauti,mdogo wangu tayari umesahau ulipotoka mara hii tu?

Hivi unapata wapi ujasiri wa kuchukua kalamu na kuandika kuwa Magufuli ndiye suluhisho la matatizo ya watanzania?

Umejuaje wakati hata ikulu hajaingia? Kwanini umekuwa mtu wa kujipendekeza sana kwa serikali? Umesahau kuwa umaskini uliowatesa wazazi wako ulisababishwa na serikali ya CCM?

Hujui kuwa aliyekuinua wewe kiuchumi siyo CCM bali ni Mungu wako? Watanzania wenzako wanaoteseka na maisha magumu yaliyosababishwa na CCM umewasahau na kukumbatia serikali hii isiyo na upendo na watu.

Kwa taarifa yako CCM wanakupenda kwa kuwa unacho, ungekuwa kapuku usingemjua JK wala Pombe, wanakupenda kwa kuwa una media na unawafagilia.

Mtu yeyote mwenye hofu ya Mungu hachangamani na watawala wabovu na wala kunywa divai yao, hebu msome nabii Elia, unajiona uko sahihi sana kumbe unapita katika njia ambazo ni machukizo ya Mungu na hutaikwepa ghadhabu.
Ataachaje kujipendekeza wakati wa TZ wengi wamenyimwa elimu hawasomi analytical news wanasoma vigazeti vyake vya udaku na kubaki maboya.sasa jaona wanazinduka wanataka mabadiliko!
 
sijawahi kusikia Tanzania Daima, likikashifiwa, iko namna
 
EL ana usafi gani mbele ya magufuli na hao wamasai wote waliohmia chadema toka ccm hawamuungi mkono mmasai mwenzao EL acheni unafiki shigongo yuko sahihi huyo mtu wenu anaye hangaika kununua uongozi kaifanyia nini Tza mpaka afikie kupewa urais mara elfu mngesemea Dr. Slaa ningwaelewa kuliko huyo fisadi anayehangaika khonga apte urais shu-up yuor mouth vote for Magufuli, hata hivyo EL haijui chadema kwa sababu yeye ni CCM ndiyo maana Prof Limpumba kawaambieni CCM ina wagombea wawili kwenye uchaguzi mwaka huu EL na Dr Magufuli mnakimbia moto mnazama baharini poleni sana ukawa
slaa yupi unayemsema? huyu ambaye mlikuwa mnasema padri mzinifu? lini haya mapenzi na slaa yameanza kwa watu wa ccm?

list of shame ilitoa majina karibia 11 na wote hawa mlikuwa mmewakumbatia kama mungu na kuna wengine ni mawaziri na rais, mbona mafisadi wengine mmekumbatia kama mungu?

hivi ngoja ni kuulize ni lini ccm ilichukia ufisadi ? hii ni sera yenu maana watu wanaiba mnawaambia warudishe
tena wewe ufunge domo chafu hilo kama mfereji wa maji ya chooni.
 
acha niwe mkweli wana jamvi! ukweli ni kwamba naanza kupata wasiwasi sana na maisha ya watu ambao watakuwa na mawazo mbadala ikiwa ndugu zetu hawa ukawa watachukua nchi. hakutakuwa na uhuru wa kuongea wala kukosoa. na ukifanya hivyo sijui utaishia wapi muda huo ambao vyombo vya dola vipo mikononi mwao. shigongo ametoa mawazo yake kama wewe unavyofanya...tatizo nini?!!!!!!! sasa unataka sote tuwe mazoba tu wa kumsifia mbowe na lowasa kama wewe? wengine hatuioni hiyo sababu unayoiona wewe na wenzio. kimsingi wewe na shigongo mko tofauti...yeye anajua anachokifanya na an uelekeo wakati wewe hauna vyote viwili. una mahaba niue tu basi! nimestuka mno na kushangaa na kutoamini na sehemu hii,

''.....Mtu yeyote mwenye hofu ya Mungu hachangamani na watawala wabovu na wala kunywa divai yao, hebu msome nabii Elia, unajiona uko sahihi sana kumbe unapita katika njia ambazo ni machukizo ya Mungu na hutaikwepa ghadhabu''.

kaka (sijui dada) hivi wewe una hofu ya Mungu??!!!! kama unayo tafadhali ungama sasa hivi. ni viongozi gani hao wazuri unaochangamana nao wewe? lowassa na mbowe?!!!!!!!!!!! you can't b serious.........
 
Ndo tatizo lao watu maarufu wanahisi kuna ambao watafata mtazamo wao kumbe nyakati hizo zilishapita
 
Huyo bwana Shigongo ni shiiiida tena shiiiida kwelikweli.Tatizo moja watu wa aina ya Shigongo wanadhani wenzao ni wajinga na wanapofanya vitu visivyopendeza mbele ya Mungu na mbele ya macho ya wanadamu kupata pesa basi wanajiona wao ni wajanja na wengine ni wajinga.Lakini ukufuatilia pesa yao ni chafu kuliko jalala la uchafu.Watu wamepata pesa kwa kuandika stori juu ya magonjwa ya watu na kuingiza pesa kwenye akaunti zao, na wala hao wagonjwa wasifaidike na kitu japo msaada ulikuwa ni ajili yaowatu wamenyamaza.Hebu atuambie matangazo ya wagonjwa wa kuomba misaada ya matibabu hiyo pesa alikuwa anaingiza akaunti ya nani, Wanacopy na kupaste vitabu vya wenzao na kujiona ni waandishi hodari watu wamenyamaza, wanaandika habari za kutunga na kuwapa pesa watu wenye njaa ili magazeti yauzwe kwa sababu wamejua watu wanapenda umbea hata ukiwa hauna kichwa wala miguu, watu bado wamenyamaza.Bwana Shigongo tunakujua na akili hizo huna, utajiri wako umejengwa kiujanja ujanja tu.Na vile hakuna msingi utaporomoka.Acha ngebe na dharau
 
Magufuli ajibu yafuatayo kwanza

1. Alikuwa analala mabibo hostel block H room 201 kwa nani ?
2.sundi yule geologist wa barrick kule north mara ni nani yake
3. Kwa nini kamuuzia sundi nyumba ya serikali masaki karibu na Cheyo kwa TZS 170,000/
4. Zile bil 320 alizosema CAG kwenye report ya ukaguzi mwaka huu zimekwenda wapi
5. Kile kivuko cha kutoka dar to bagamoyo alinunua kwa manufaa ya nani?
6. Zile bil 3 serikali iliyolipa wale wavuvi wa ile meli ya wachina ni ujinga wa nani kukurupuka kufanya maamuzi?
7. Kwa nini alitishia meneja wa Asshleff kumfukuza nchini kwa kukataa kumpa hongo wakati wa kujenga barabara ya Sumbawanga
8. Samunge alienda kunywa kikombe anaumwa nini? Na mbona anazidi kupauka ngozi kadri siku zinavyokwenda mbele?
9. Kwa nini alipelekwa na mkewe kwa askofu kulalamikiwa kwa mienendo yake ya hovyo?
10. Kwenye documentary yake ITV last week aliposema ana watoto kadhaa alikuwa ana maana gani?
11. Kama uliweza kufukuzwa katoke seminary kwa kuiba mananasi je ni lini umeacha tabia yako ya wizi?

Haya yote yanadhihirisha kwa hakuna mkamilifu chini ya jua na juu ya ardhi. Hivyo EL asihukumiwe
 
Kapewa ahadi ya kupewa ubunge usiokuwa na jimbo
Shigongo saivi anatema shudu baba yaani sijui kaahidiwa nini?
Mimi najua watu wanaoandika hivi vitabu wanaweza wakawa hawako katika chama chochote ila ni wanaharakatii ila yeye anajiweka kabisa ni CCM duh!! Baba umevurugaa
 
Usisahau kuwa hata kikwete alipokuwa anakuja kugombea kwakupita ccm alijitapa na kuaminiwa sana leo tujiulize amewasaidiaje watanzania,? Najua kabisa alikuwa na dhamira nzuri lakini ndani ya ccm haiwezekani tena,chama kimeshikwa na watu wanaolinda na kuendeleza maslahi yao bila haya wala uoga,hata shigongo mwenyewe hasemi hayo kutoka moyoni,anaongozwa na tamaa hasa tamaa ya kuteuliwa, na hiyo inatokana na mifumo mibovu iliyowekwa na kusimamiwa na ccm.kiongozi au mtoto wa kiongozi anaweza kutembea na mwanamke kesho ukasikia ameteuliwa kushika madaraka fulani bila hata kuwa na sifa ya uteuzi huo
 
Back
Top Bottom