Shigongo unajidhalilisha sana mdogo wangu

Shigongo unajidhalilisha sana mdogo wangu

Da mkuuu nimecheka ila na el si ndo alikuwepo kwenye mfumo, toa sera zingine

Mkuu, nikwambie tu Lowasa ni mtu safi,makini,sikivu,mchapa kazi na mwenye mamuzi magumu. alikuwepo ndani ya mfumo ndio, lakini kwa sasa kaja UKAWA sehemu makini yenye nia ya kuwatete na kubadili maisha ya watanzania. Kwa misukosuko aliyoipitia sidhani kama atawangusha watanzania, ni imani yangu atafanya kitu ili kuprove mahasimu wake wrong.
 
hapo kidogo shigogo mmemwonea ye ni mmiliki siyo mhariri , hope naye anayasoma yaliyoandikwa kwenye magazeti yake
 
we mtoa mada vipi??? kwani yeye hana haki ya kumnadi anaye mtaka???
mbona wanaosema EL hamuwaemi???
hebu tuache kukataa kila kilicho kinyume chetu...!!! tunatafuta mabadiliko ila sio kwa mtindo huu...!!!!
 
Shigongo kaandika ukweli Tanzania mgombea ni mmoja tuu kwasasa fisadi lowasa atulie tuu
 
slaa yupi unayemsema? huyu ambaye mlikuwa mnasema padri mzinifu? lini haya mapenzi na slaa yameanza kwa watu wa ccm?

list of shame ilitoa majina karibia 11 na wote hawa mlikuwa mmewakumbatia kama mungu na kuna wengine ni mawaziri na rais, mbona mafisadi wengine mmekumbatia kama mungu?

hivi ngoja ni kuulize ni lini ccm ilichukia ufisadi ? hii ni sera yenu maana watu wanaiba mnawaambia warudishe
tena wewe ufunge domo chafu hilo kama mfereji wa maji ya chooni.

oja

kama ccm hawachukii ufisadi na EL kwa kauli zenu wenyewe mlisema ni fisadi leo hii kanunua chma chenu amekuwa nabii? shetani hawezi kuwa malaika hata siku m
 
Huyu Shigongo ni nani katika siasa za nchi hii?
Akituma jeshi lake la OFM wakakukamata unazini ndiyo utajua yeye ni nani. Ana magazeti pendwa yanayoongoza kusomwa hasa na vijana na anaweza ku-influence baadhi yao. Don't be so dismissive mkuu....
 
Utajiri wake Shigongo kapewa na Mungu wake...Umaskin Watanzania wamepewa na CCM...DOUBLE STANDARD!!!! CHEMA CHAKO KIBAYA CHAKE...Roho za kutu hizo zitawamaliza....ndan ya nch moja utajir utoke kwngine umaskin kwngine...simply kawapinga juu ya FISAD WENU..shame on you
 
Akituma jeshi lake la OFM wakakukamata unazini ndiyo utajua yeye ni nani. Ana magazeti pendwa yanayoongoza kusomwa hasa na vijana na anaweza ku-influence baadhi yao. Don't be so dismissive mkuu....

Kwa maandishi haya, sitaki tena PhD.
 
Back
Top Bottom