snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,699
- 23,618
zungumza nae .mwambie jinsi ilivyo ngumu!
mweleweshe jinsi anavokupa mzigo na hiyo familia
akiendelea kubisha (hasa ukizingatia ana kipato na una uhakika)siku moja muandalie hotpot (tupu)maji ya kunawa(jug lisiwe na kitu)umeme ukikatika hakuna kuongeza luku
wanao minya sehemu mle chipsi weeee af mrudi hom kimya akidai msosi mpe hayo maandalizi hapo juu!akili itamkaa sawa!
msaidie mume wako pale ambap kweli unajua ana shida lakini haya ya kukomoana no!no way!
hela ya huko kubangaika anaipeleka wapi?
SIO FAIR!
mweleweshe jinsi anavokupa mzigo na hiyo familia
akiendelea kubisha (hasa ukizingatia ana kipato na una uhakika)siku moja muandalie hotpot (tupu)maji ya kunawa(jug lisiwe na kitu)umeme ukikatika hakuna kuongeza luku
wanao minya sehemu mle chipsi weeee af mrudi hom kimya akidai msosi mpe hayo maandalizi hapo juu!akili itamkaa sawa!
msaidie mume wako pale ambap kweli unajua ana shida lakini haya ya kukomoana no!no way!
hela ya huko kubangaika anaipeleka wapi?
SIO FAIR!