Shida za ndoa ( maoni ya wanaume)

zungumza nae .mwambie jinsi ilivyo ngumu!
mweleweshe jinsi anavokupa mzigo na hiyo familia
akiendelea kubisha (hasa ukizingatia ana kipato na una uhakika)siku moja muandalie hotpot (tupu)maji ya kunawa(jug lisiwe na kitu)umeme ukikatika hakuna kuongeza luku
wanao minya sehemu mle chipsi weeee af mrudi hom kimya akidai msosi mpe hayo maandalizi hapo juu!akili itamkaa sawa!
msaidie mume wako pale ambap kweli unajua ana shida lakini haya ya kukomoana no!no way!
hela ya huko kubangaika anaipeleka wapi?
SIO FAIR!
 
Poleeeee! Ndo maana wenzio tunawajengea utamaduni wa kutuhudumia na kuzoea kuchunika tangu stage za awali, ukimzoesha kumuhudmia ndo inakuwa kama hivo tena majukumu yanakuzidi. Hapo tiba ni kuwaambia washauri wenu wa ndoa waongee nae ama na wewe unaanza kujiakausha!
Pesa yangu shopping and have fun.wanawake tunajitwika
Mizigo .A real men will never take money from a woman
 
Mimi ni mwanamke, nina miaka 36. Tumejaliwa kupata watoto 2 katika ndoa yetu. Kipato cha mme wangu ni cha kawaida maana siyo kwamba anakaa nyumbani naye ni mtafutaji. Kwa lugha nyingine yeye kajiajiri. Mimi ni mwajiriwa wa Serikali ila kipato changu ni cha hali ya chini.

Jambo la kushangaza yeye haudumii familia kwa chakula, mavazi wala Elimu ya watoto. Pamoja na kutonunua chakula bado anapata huduma zote hapa nyumbani bila kujali nani anauhudumia familia yake. Mwanzoni mwa mahusiano yetu alikuwa walao anachangia mahitaji ya familia ingawa siyo kwa kukidhi. Miezi sita iliyopita kachukua mkopo ambao sikujua aliutumia kufanya nini maana nimegundua hivyo baada ya kufuatilia sana. Naelemewa na majukumu ya familia.

Je wanaume wote ndivyo mnavyoishi katika familia zenu?

Pole sana. Mimi nakaribia kuoana na mchumba wangu ambaye tumekaa pamoja for more than 5 years.

Issue za responsibilities, mikopo, matumizi ya pesa tumeshare this katika kipindi chote cha uchumba.

Mume wako ana tatizo. Alishawahi kushika hela nyingi?

Usiwaze negative sana ila kuwa nae karibu kwa upole. I smell fishy
 
ni tabia mbaya sana tena sana kitegemea kutegea alioa ili alishwe bure maisha gani haya bure kabisa
 
hapo sasa Kipipi njooo
mtandike fimbo na unyumba usimpe
yaani kula umlishe,watoto ulee na usiku kucha akukwide? nooo big nooo
ngoja nimfatute@Natalia kwanza

Na mimba ubebe miezi tisa.....na uchungu juu!!!!!
Ningekuwa mimi hapo swala ni moja tu. . . .
Kumgeuza house boy....hataki anachapa lapa!
 
kha!! sasa huyo nu mume au d1ldo inayotembea?? tupa kule

khaaa! mdogo wangu umenichekesha sana mume dildo?????????

kiukweli kabisa huyu mume napata hisia kuna mahali anahudumia tena sana tu. huyu mama atakuja kustukia but too late, jamaa ananyumba anamjengea mtu some where wapenda wallet balaaa. chezea mashankupe ya jiji?
 
khaaa! mdogo wangu umenichekesha sana mume dildo?????????

kiukweli kabisa huyu mume napata hisia kuna mahali anahudumia tena sana tu. huyu mama atakuja kustukia but too late, jamaa ananyumba anamjengea mtu some where wapenda wallet balaaa. chezea mashankupe ya jiji?

Habari ndo hiyo!!

Nadahani hata huyu dada ameligundua hilo.......ila hajalisema tu moja kwa moja!!
 
Back
Top Bottom