Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,024
- 26,387
Kwa hiyo watu wanavutishwa sigara KianaHarufu ipo mazingira karibu na kiwandani lakini Sua haifiki
Kwa hiyo watu wanavutishwa sigara KianaHarufu ipo mazingira karibu na kiwandani lakini Sua haifiki
Ndomana mabomba yakitoa maji yanatoa ukijani au rangi ya ugoro majiHayo ndio yanaensa msamvu, kihonda, mafiga, nanenane tubuyu na kwengineko kwenye mini mipya.
Tabu tupu
DuhKuna mtu namjua kalipia aunganishwe maji hapo Moro tangy mwaka Jana Kila siku akienda Moro wasa wanamwambia tutakupigia.
Kumbuka ashalipia Kila kitu.
Yaani kama Kuna idara ya maji imeoza na kuvunda uvundo wa funza basi MORUWASA.
Mambo machafu sana.Ndomana mabomba yakitoa maji yanatoa ukijani au rangi ya ugoro maji
Ova
Dodoma ki geographia Haina maji mazuri na yakutosha Kwa kizazi Cha muda mrefu, Serikali ilifosi TU kuhamia dom kisiasa, Kuna vigezo vingine vilipuuzwaMiaka fulani kwenye utafutaji niliendaga dodoma,kyna sehemu inaitwa segala,aise huko nlikutana na shida na maji balaa
Maji ilikuwa kama almasi huko kwa sasa sijui hali ikoje
Maana huko nakumbuka kuoga ilikuwa unajipiga passport size tu
Ova
Lakini mbona wana vyanzo vingi vya maji tena kutoka milimaniLaiti morogoro kungekuwa na maji ya uhakika kama dar hivi au Tanga mjini.
Trust me Moro ni mji mzuri sana kuishi na kiuchumi.
Sema ndivyo basi tena.
Aise dodoma nlipakubali kwa shida ya maji,nlikaaga mlowa miaka fulaniDodoma ki geographia Haina maji mazuri na yakutosha Kwa kizazi Cha muda mrefu, Serikali ilifosi TU kuhamia dom kisiasa, Kuna vigezo vingine vilipuuzwa
Nilifika dom for th first time, nikwanya maji nikabakiza matone kwe kikombe, nikakiacha mpaka asubuhi, asabuhi nakichukua kile kikombe nakuta ya matone yamekuwa chumvi kabisa 😂,Aise dodoma nlipakubali kwa shida ya maji,nlikaaga mlowa miaka fulani
Aise ukiwa na maji unaonekana mfalme,dah wakat ule mbunge malecela huko
Aise hii nchi ina vituko sana
Ova
Daa mpe pole, Ndio mambo ya Serikali full bureaucracyKuna mtu namjua kalipia aunganishwe maji hapo Moro tangy mwaka Jana Kila siku akienda Moro wasa wanamwambia tutakupigia.
Kumbuka ashalipia Kila kitu.
Yaani kama Kuna idara ya maji imeoza na kuvunda uvundo wa funza basi MORUWASA.
Morogoro viongozi wanalala sana aseee mbunge wetu kuongea tu kwenyewe hawez ayo matatizo atasolve vip sasaNilikuwa kikazi mkoani MOROGORO, nikapita kwa ndungu yangu mafiga iasee, wananchi wa Morogoro municipal wana shida ya maji balaa.
Hasa kipindi hiki cha kuelekea maonyesho ya 88 Hali inakuwa mbaya zaidi, kwani maji mengi wanayapeleka kunyeshea kwenye bustani za mazao mbalimbali kwenye eneo hilo la 88.
Yani week nzima maji yametoka mara tu yani 😤, tena mwenyeji wangu ananiambia hata masaa 2 hayakufika yakakatika.
Viongozi wa mkoa wa Morogoro acheni propaganda wananchi wenu wanaumia, maonesho ya 88, kila mwaka vitu ni vilele tu, watu wameshawazoea hakuna jipya, na hata wakulima wenyewe hawanufaikii kivile, kwasababu kilimo sio maonyesho bali ni shambani.
Pia usumbufu mwingine niliouona ni moshi utokao kwenye kiwanda cha ku-process tubacco, aisee harufu ya moshi wa tobacco ikifika mida ya jioni ni kali sana, mpaka maeno ya SUA huku inafika embu imangini apo means ni karibia mjini mzima, ikifika mida ya jioni wananchi wakiwemo watoto wadogo wamama wajawazito wanavuta moshi mzito wa tumbaku (tobacco).
Viongozi wa mkoa wa Morogoro kuweni na weledi kwenye majukumu yenu ya kazi.
Pia nasikia mbunge abood ametoa basi la maziko, ina maana watu wa Morogoro maitaji yao ni kufa na kuzikwa tu yani 😂.
Wananchi wa Morogoro municipal na viongozi kuweni serious.
TATIZO la mbungu wa Moro ni shule kichwani, hajiamini kama mtu anayeweza kutatuwa changamoto za jamii kitaalamu, Lakini CCM hii ndio njia wanayopenda kujaza mabunge vilaza bungeni ili wasipate changamoto ya maswali bungeniMorogoro viongozi wanalala sana aseee mbunge wetu kuongea tu kwenyewe hawez ayo matatizo atasolve vip sasa
Wewe ukipanga kutaka kuwafukuza kutoka maofisini, wao watapanga kukufukuza duniani.Halafu maji ya boza unakuta wanauza hao watu wa moruwasa. Yani ningekua kiongozi ningewahamisha au kuwafukuza watu wote ofisini nilete wapya
Siasa za hovyo sana, kunawatu wanafanya kazi za mbogamboga, uvuvi, kilimo, ufugaji, hawalipi kodi lakini wanaharibu mazingira ya bwala la mindu, na kuleta hasara kubwa , mindu imejaa tope , Kina Cha maji kumepungua mnoNdomana mabomba yakitoa maji yanatoa ukijani au rangi ya ugoro maji
Ova
Mbona huko ulikotoka matatizo ya kule hujayasemea Mr. Blender?Nilikuwa kikazi mkoani MOROGORO, nikapita kwa ndungu yangu mafiga iasee, wananchi wa Morogoro municipal wana shida ya maji balaa.
Hasa kipindi hiki cha kuelekea maonyesho ya 88 Hali inakuwa mbaya zaidi, kwani maji mengi wanayapeleka kunyeshea kwenye bustani za mazao mbalimbali kwenye eneo hilo la 88.
Yani week nzima maji yametoka mara tu yani 😤, tena mwenyeji wangu ananiambia hata masaa 2 hayakufika yakakatika.
Viongozi wa mkoa wa Morogoro acheni propaganda wananchi wenu wanaumia, maonesho ya 88, kila mwaka vitu ni vilele tu, watu wameshawazoea hakuna jipya, na hata wakulima wenyewe hawanufaikii kivile, kwasababu kilimo sio maonyesho bali ni shambani.
Pia usumbufu mwingine niliouona ni moshi utokao kwenye kiwanda cha ku-process tubacco, aisee harufu ya moshi wa tobacco ikifika mida ya jioni ni kali sana, mpaka maeno ya SUA huku inafika embu imangini apo means ni karibia mjini mzima, ikifika mida ya jioni wananchi wakiwemo watoto wadogo wamama wajawazito wanavuta moshi mzito wa tumbaku (tobacco).
Viongozi wa mkoa wa Morogoro kuweni na weledi kwenye majukumu yenu ya kazi.
Pia nasikia mbunge abood ametoa basi la maziko, ina maana watu wa Morogoro maitaji yao ni kufa na kuzikwa tu yani 😂.
Wananchi wa Morogoro municipal na viongozi kuweni serious.
Kwa rasilimali za maji walizo kuwa nazo morogoro ni aibu aibu, kuona wananchi wake wanapata shida ya maji kiahisi hikiMbona huko ulikotoka matatizo ya kule hujayasemea Mr. Blender?
Au ndiyo kusema nyani haoni lenduku?
Charity begins at home!