DOKEZO Shida ya maji mkoani Morogoro

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Miaka fulani kwenye utafutaji niliendaga dodoma,kyna sehemu inaitwa segala,aise huko nlikutana na shida na maji balaa
Maji ilikuwa kama almasi huko kwa sasa sijui hali ikoje
Maana huko nakumbuka kuoga ilikuwa unajipiga passport size tu

Ova
Dodoma ki geographia Haina maji mazuri na yakutosha Kwa kizazi Cha muda mrefu, Serikali ilifosi TU kuhamia dom kisiasa, Kuna vigezo vingine vilipuuzwa
 
Laiti morogoro kungekuwa na maji ya uhakika kama dar hivi au Tanga mjini.

Trust me Moro ni mji mzuri sana kuishi na kiuchumi.

Sema ndivyo basi tena.
Lakini mbona wana vyanzo vingi vya maji tena kutoka milimani
Naona uzembe tu wa watendaji huko
Na kutokujali wananchi

Ova
 
Dodoma ki geographia Haina maji mazuri na yakutosha Kwa kizazi Cha muda mrefu, Serikali ilifosi TU kuhamia dom kisiasa, Kuna vigezo vingine vilipuuzwa
Aise dodoma nlipakubali kwa shida ya maji,nlikaaga mlowa miaka fulani
Aise ukiwa na maji unaonekana mfalme,dah wakat ule mbunge malecela huko
Aise hii nchi ina vituko sana

Ova
 
Aise dodoma nlipakubali kwa shida ya maji,nlikaaga mlowa miaka fulani
Aise ukiwa na maji unaonekana mfalme,dah wakat ule mbunge malecela huko
Aise hii nchi ina vituko sana

Ova
Nilifika dom for th first time, nikwanya maji nikabakiza matone kwe kikombe, nikakiacha mpaka asubuhi, asabuhi nakichukua kile kikombe nakuta ya matone yamekuwa chumvi kabisa 😂,

Nikajisemea moyoni huu mkoa nisipokuwa makini nitapauka pau
 
Kuna mtu namjua kalipia aunganishwe maji hapo Moro tangy mwaka Jana Kila siku akienda Moro wasa wanamwambia tutakupigia.

Kumbuka ashalipia Kila kitu.

Yaani kama Kuna idara ya maji imeoza na kuvunda uvundo wa funza basi MORUWASA.
Daa mpe pole, Ndio mambo ya Serikali full bureaucracy
 
Nilikuwa kikazi mkoani MOROGORO, nikapita kwa ndungu yangu mafiga iasee, wananchi wa Morogoro municipal wana shida ya maji balaa.

Hasa kipindi hiki cha kuelekea maonyesho ya 88 Hali inakuwa mbaya zaidi, kwani maji mengi wanayapeleka kunyeshea kwenye bustani za mazao mbalimbali kwenye eneo hilo la 88.

Yani week nzima maji yametoka mara tu yani 😤, tena mwenyeji wangu ananiambia hata masaa 2 hayakufika yakakatika.

Viongozi wa mkoa wa Morogoro acheni propaganda wananchi wenu wanaumia, maonesho ya 88, kila mwaka vitu ni vilele tu, watu wameshawazoea hakuna jipya, na hata wakulima wenyewe hawanufaikii kivile, kwasababu kilimo sio maonyesho bali ni shambani.

Pia usumbufu mwingine niliouona ni moshi utokao kwenye kiwanda cha ku-process tubacco, aisee harufu ya moshi wa tobacco ikifika mida ya jioni ni kali sana, mpaka maeno ya SUA huku inafika embu imangini apo means ni karibia mjini mzima, ikifika mida ya jioni wananchi wakiwemo watoto wadogo wamama wajawazito wanavuta moshi mzito wa tumbaku (tobacco).

Viongozi wa mkoa wa Morogoro kuweni na weledi kwenye majukumu yenu ya kazi.

Pia nasikia mbunge abood ametoa basi la maziko, ina maana watu wa Morogoro maitaji yao ni kufa na kuzikwa tu yani 😂.

Wananchi wa Morogoro municipal na viongozi kuweni serious.
Morogoro viongozi wanalala sana aseee mbunge wetu kuongea tu kwenyewe hawez ayo matatizo atasolve vip sasa
 
Morogoro viongozi wanalala sana aseee mbunge wetu kuongea tu kwenyewe hawez ayo matatizo atasolve vip sasa
TATIZO la mbungu wa Moro ni shule kichwani, hajiamini kama mtu anayeweza kutatuwa changamoto za jamii kitaalamu, Lakini CCM hii ndio njia wanayopenda kujaza mabunge vilaza bungeni ili wasipate changamoto ya maswali bungeni
 
MORUWASA toeni majibu sahihi ya malamisho ya wateja wenu wa morogoro municipal
 
Ndomana mabomba yakitoa maji yanatoa ukijani au rangi ya ugoro maji

Ova
Siasa za hovyo sana, kunawatu wanafanya kazi za mbogamboga, uvuvi, kilimo, ufugaji, hawalipi kodi lakini wanaharibu mazingira ya bwala la mindu, na kuleta hasara kubwa , mindu imejaa tope , Kina Cha maji kumepungua mno
 
Nilikuwa kikazi mkoani MOROGORO, nikapita kwa ndungu yangu mafiga iasee, wananchi wa Morogoro municipal wana shida ya maji balaa.

Hasa kipindi hiki cha kuelekea maonyesho ya 88 Hali inakuwa mbaya zaidi, kwani maji mengi wanayapeleka kunyeshea kwenye bustani za mazao mbalimbali kwenye eneo hilo la 88.

Yani week nzima maji yametoka mara tu yani 😤, tena mwenyeji wangu ananiambia hata masaa 2 hayakufika yakakatika.

Viongozi wa mkoa wa Morogoro acheni propaganda wananchi wenu wanaumia, maonesho ya 88, kila mwaka vitu ni vilele tu, watu wameshawazoea hakuna jipya, na hata wakulima wenyewe hawanufaikii kivile, kwasababu kilimo sio maonyesho bali ni shambani.

Pia usumbufu mwingine niliouona ni moshi utokao kwenye kiwanda cha ku-process tubacco, aisee harufu ya moshi wa tobacco ikifika mida ya jioni ni kali sana, mpaka maeno ya SUA huku inafika embu imangini apo means ni karibia mjini mzima, ikifika mida ya jioni wananchi wakiwemo watoto wadogo wamama wajawazito wanavuta moshi mzito wa tumbaku (tobacco).

Viongozi wa mkoa wa Morogoro kuweni na weledi kwenye majukumu yenu ya kazi.

Pia nasikia mbunge abood ametoa basi la maziko, ina maana watu wa Morogoro maitaji yao ni kufa na kuzikwa tu yani 😂.

Wananchi wa Morogoro municipal na viongozi kuweni serious.
Mbona huko ulikotoka matatizo ya kule hujayasemea Mr. Blender?
Au ndiyo kusema nyani haoni lenduku?
Charity begins at home!
 
Back
Top Bottom