ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,682
- 16,253
Maji ya chumvi, sindiyo?Kumbe wewe ni jirani yangu
Mimi sijui shida ya maji , ninapoishi tuna karo la maji huwa tunategeshea mpira siku ya maji kutoka yaingia karoni, then tunabaki kutumia tu.
Maji ya chumvi, sindiyo?Kumbe wewe ni jirani yangu
Mimi sijui shida ya maji , ninapoishi tuna karo la maji huwa tunategeshea mpira siku ya maji kutoka yaingia karoni, then tunabaki kutumia tu.
Sasa Yale Magari Ya Kuchimba Visima Dodoma Ni Mengi Wenye Nafasi WanachimbaMi ratiba ilinishinda nikarudi zangu msalatooo shida tunaiskia kwenye Bomba tuu!!!Mimi ikitokea nimejenga Dom ntapambana niwe na Hela ya kuchimba kisima kabisa mi shida ya Maji siwezi kumiliki mindoo kama muuza samaki au mihogo au mtu wa hoteli hapanaa![]()
NdiyoMaji ya chumvi, sindiyo?
😄😃😁😀😅😀😁😂 madjaba ni mengi kuliko vyombo vyote
Lazima Cash Iwe Ndefu Halafu Siyo Kila Sehemu Unaweza Kuchimba Ukapata MajiKuna mdada kachimba kisima wee almost 10m zimeingia gharama sana kisima Maji Yako Chini sana
Ndio uhalisia na wale wa kuishi chumba kimoja ukiingia ndani utadhani kuna kiwanda au stoo ya kutunzia maplastic ya maji, vinginevyo ukiacha nje majirani wanatumia maji yote.😄😃😁😀😅😀😁
Hicho ni kipengele kingine, yapatikane kwanzaMaji ya chumvi, sindiyo?
madjaba ni mengi kuliko vyombo vyote




yaani halafu Sasa Kwa watumishi Kule nyumba 300,Yaani Wana tabu wale watu!!mi Kule hapana kaahhh....maji shidaaa!!Sijawahi kujua hili! Kumbe Nkuhungu maji mara mbili kwa wiki!?Huku Nkuhungu huwa yànatoka Mara mbili kwa wiki.... Hatujawahi kukosa maji inapofika siku yetu ya maji kutoka.....

poleni sana aisee.DuhhLazima Cash Iwe Ndefu Halafu Siyo Kila Sehemu Unaweza Kuchimba Ukapata Maji
Nimeona Sehemu Wamechimba Na Hawakupata Maji Nikashangaa Sana





kwelii...hii Kali bwana !!!kaahh...Dar imeniharibu sana ujueNdio uhalisia na wale wa kuishi chumba kimoja ukiingia ndani utadhani kuna kiwanda au stoo ya kutunzia maplastic ya maji, vinginevyo ukiacha nje majirani wanatumia maji yote.



maana hakuna shida ya Maji na kisima kuchimba rahisi sinaga ndoo kabisaaAsanteeeeeeeeee😅🤪😅🤪😅🤪😅🤪Sijawahi kujua hili! Kumbe Nkuhungu maji mara mbili kwa wiki!?poleni sana aisee.
Aliyeplan kupeleka Capital jangwani ndio wa kumshangaa..Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?
ganyaKama hujui endelea nna ccm na shida ya maji.
HUDAIWI ?Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?
Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.
Je, Huko kwingine hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.
Mama anaupiga mwingi sana itaisha kabla ya 2025 tuna DP WORLD Kiboko ya MATATIZO ya NCHI HIINipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?
Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.
Je, Huko kwingine hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.
Dar kuna sehemu pia kuna shida ya maji niliwahi ishi mbezi kuna kipindi maji hayakutoka 3 weeks.Dar imeniharibu sana ujuemaana hakuna shida ya Maji na kisima kuchimba rahisi sinaga ndoo kabisaa
Ukiwa na chumba kimoja ukiamka unaona utajiri wako wote