Shida ya maji Dodoma itaisha lini?

Shida ya maji Dodoma itaisha lini?

Kumbe wewe ni jirani yangu [emoji1][emoji1][emoji1]

Mimi sijui shida ya maji , ninapoishi tuna karo la maji huwa tunategeshea mpira siku ya maji kutoka yaingia karoni, then tunabaki kutumia tu.
Maji ya chumvi, sindiyo?
 
Mi ratiba ilinishinda nikarudi zangu msalatooo shida tunaiskia kwenye Bomba tuu!!!Mimi ikitokea nimejenga Dom ntapambana niwe na Hela ya kuchimba kisima kabisa mi shida ya Maji siwezi kumiliki mindoo kama muuza samaki au mihogo au mtu wa hoteli hapanaa[emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Sasa Yale Magari Ya Kuchimba Visima Dodoma Ni Mengi Wenye Nafasi Wanachimba
Msalato Huko Ndiyo Bomba Kubwa Linatoka Mzakwe, Jeshini, Veyula Halafu Msalato
 
Kuna mdada kachimba kisima wee almost 10m zimeingia gharama sana kisima Maji Yako Chini sana
Lazima Cash Iwe Ndefu Halafu Siyo Kila Sehemu Unaweza Kuchimba Ukapata Maji
Nimeona Sehemu Wamechimba Na Hawakupata Maji Nikashangaa Sana
 
😄😃😁😀😅😀😁
Ndio uhalisia na wale wa kuishi chumba kimoja ukiingia ndani utadhani kuna kiwanda au stoo ya kutunzia maplastic ya maji, vinginevyo ukiacha nje majirani wanatumia maji yote.
 
Huku Nkuhungu huwa yànatoka Mara mbili kwa wiki.... Hatujawahi kukosa maji inapofika siku yetu ya maji kutoka.....
Sijawahi kujua hili! Kumbe Nkuhungu maji mara mbili kwa wiki!?[emoji134][emoji23] poleni sana aisee.
 
Lazima Cash Iwe Ndefu Halafu Siyo Kila Sehemu Unaweza Kuchimba Ukapata Maji
Nimeona Sehemu Wamechimba Na Hawakupata Maji Nikashangaa Sana
Duhh[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji3526][emoji3526]kwelii...hii Kali bwana !!!kaahh...
 
Ndio uhalisia na wale wa kuishi chumba kimoja ukiingia ndani utadhani kuna kiwanda au stoo ya kutunzia maplastic ya maji, vinginevyo ukiacha nje majirani wanatumia maji yote.
Dar imeniharibu sana ujue[emoji1][emoji1][emoji38][emoji1]maana hakuna shida ya Maji na kisima kuchimba rahisi sinaga ndoo kabisaa

Ukiwa na chumba kimoja ukiamka unaona utajiri wako wote
 
[emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1]yaani halafu Sasa Kwa watumishi Kule nyumba 300,Yaani Wana tabu wale watu!!mi Kule hapana kaahhh....maji shidaaa!!
Ndo maana watumishi wakubwa walikataa kukaa [emoji28]
 
Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?
Aliyeplan kupeleka Capital jangwani ndio wa kumshangaa..

Ni matokeo ya zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM hata kama kiongozi huyo ana low IQ.

🥺
 
Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?

Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.

Je, Huko kwingine hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.
HUDAIWI ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?

Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.

Je, Huko kwingine hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.
Mama anaupiga mwingi sana itaisha kabla ya 2025 tuna DP WORLD Kiboko ya MATATIZO ya NCHI HII
 
Dar imeniharibu sana ujue[emoji1][emoji1][emoji38][emoji1]maana hakuna shida ya Maji na kisima kuchimba rahisi sinaga ndoo kabisaa

Ukiwa na chumba kimoja ukiamka unaona utajiri wako wote
Dar kuna sehemu pia kuna shida ya maji niliwahi ishi mbezi kuna kipindi maji hayakutoka 3 weeks.
 
Back
Top Bottom