Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,341
Hivi kuna watu bado huwa wanasikiliza na kuamini CCM watatimiza ahadi?Hizo akili za kutatua changamoto wazitoe wapi?Na CCM walifanya siasa za ushindani visima nzuguni na kuahidi mwezi na 8 tabu imeisha lkn mpaka leo tank tupu bado ndio nimeelewa kwa wengine wanarudisha kadi
