Shida ya maji Dodoma itaisha lini?

Shida ya maji Dodoma itaisha lini?

Ila kwa huku naona kumezidi maana ukienda mitaa kama kikuyu ni ya mgao lakini kwa masaa ila ni karibu kila siku yanatoka kwa masaa kadhaa
Tanzania nzima hakuna mji wowote ambao mitaayote maji yanatoka 24/7 mwakamzima .Dodoma hakuna shida ya maji bali kuna mgao wa maji.
Baadhi ya mitaa mfano Makulu,Mkalama maji yanatoka kilasiku kutokana na jiografia ya kule juu(wapo karibu na tanki la maji mlimani).
Mitaa mingine kama Chang'ombe,Nkuhungu,Ndachi maji yanatoka maratatu kwa wiki.Mitaa mingine yanatoka marambili kwa wiki
 
Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?

Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.

Je Huko Kwingine Hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.
Tulia wewe tulikutuma utuchague Sisi CCM
 
Ila kwa huku naona kumezidi maana ukienda mitaa kama kikuyu ni ya mgao lakini kwa masaa ila ni karibu kila siku yanatoka kwa masaa kadhaa
Naamini shida ya maji dodoma inatengenezwa na mamlaka ya maji kwa malengo wanayojua wao.

Mimi nimewahi kukaa kule oysterbay,eti wanatoa maji ijumaa na jumamosi tu,siku zingine hakuna maji,nikaona mtu mwenye akili ya kawaida hawezi kupanga mgao wa aina hiyo.

Afadhali watoe jumamosi na jumanne sio hiyo ratiba yao ya kijinga mfululizo kwa siku mfuatano.

Nachowakubali jamaa walikua na customer care nzuri sana ukiwapigia simu.
 
Tanzania nzima hakuna mji wowote ambao mitaayote maji yanatoka 24/7 mwakamzima .Dodoma hakuna shida ya maji bali kuna mgao wa maji.
Baadhi ya mitaa mfano Makulu,Mkalama maji yanatoka kilasiku kutokana na jiografia ya kule juu(wapo karibu na tanki la maji mlimani).
Mitaa mingine kama Chang'ombe,Nkuhungu,Ndachi maji yanatoka maratatu kwa wiki.Mitaa mingine yanatoka marambili kwa wiki
Ni Mara mbili kwa wiki Mkuu.... Hakuna ratiba ya Mara tatu kwa wiki....
 
Tanzania nzima hakuna mji wowote ambao mitaayote maji yanatoka 24/7 mwakamzima .Dodoma hakuna shida ya maji bali kuna mgao wa maji.
Baadhi ya mitaa mfano Makulu,Mkalama maji yanatoka kilasiku kutokana na jiografia ya kule juu(wapo karibu na tanki la maji mlimani).
Mitaa mingine kama Chang'ombe,Nkuhungu,Ndachi maji yanatoka maratatu kwa wiki.Mitaa mingine yanatoka marambili kwa wiki
Na mitaa mingine hayatoki kibisaa
 
Naamini shida ya maji dodoma inatengenezwa na mamlaka ya maji kwa malengo wanayojua wao.

Mimi nimewahi kukaa kule oysterbay,eti wanatoa maji ijumaa na jumamosi tu,siku zingine hakuna maji,nikaona mtu mwenye akili ya kawaida hawezi kupanga mgao wa aina hiyo.

Afadhali watoe jumamosi na jumanne sio hiyo ratiba yao ya kijinga mfululizo kwa siku mfuatano.

Nachowakubali jamaa walikua na customer care nzuri sana ukiwapigia simu.
You nailed it. Unaona toyo zinavyopiga kazi....shtuka
 
Si aweso alimtumbua yule mkurugenzi wa duwasa,vp aliyepewa kijiti naye kafel kudeliva?
 
🤣🤣🤣DSM kuna maeneo maji ni ya mgao lakini ukiangalia kwa makini mwaka huu jua syo kali kiivo la kukausha maji huko yatokako na mara kadhaa mvua pia zimekua zikinyesha kiasi fulani ambapo hii ni tofaut na miaka mingine iliyopita
 
Back
Top Bottom