Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,813
Watumie ya dukaniyaani halafu Sasa Kwa watumishi Kule nyumba 300,Yaani Wana tabu wale watu!!mi Kule hapana kaahhh....maji shidaaa!!
Watumie ya dukaniyaani halafu Sasa Kwa watumishi Kule nyumba 300,Yaani Wana tabu wale watu!!mi Kule hapana kaahhh....maji shidaaa!!
Sijajua kwa sasa kama bado kuna hiyo changamotoMbezi kwa biligenda like structure
Yarudi Dar tuMakao makuu ya nchi!
Kukosa maji ni kero kubwa sana hasa inapochukua siku nyingi kupita bila majiIpo bado baadhi ya mitaa
Mbezi ya kinara Kuna shida ya Maji baadhi ya sehemu na kifuru hukuDar kuna sehemu pia kuna shida ya maji niliwahi ishi mbezi kuna kipindi maji hayakutoka 3 weeks.
Na itazidi kuongezekaMbezi ya kinara Kuna shida ya Maji baadhi ya sehemu na kifuru huku
Huku Nkuhungu huwa yànatoka Mara mbili kwa wiki.... Hatujawahi kukosa maji inapofika siku yetu ya maji kutoka.....



Hili ni kweli kabisa yaaniAliyeplan kupeleka Capital jangwani ndio wa kumshangaa..
Ni matokeo ya zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM hata kama kiongozi huyo ana low IQ.
🥺
haitakuja iishe hadi ccm itoke madarakani.Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?
Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.
Je, Huko kwingine hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.
Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?
Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.
Je, Huko kwingine hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.