The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 8,217
- 16,090
shida itaisha CCM ikiondoka madarakani
Maji Dodoma tokea enzi za mwaalimu , maji hayapogi walikuwa wanatumia vijisehemu vidogo vilivyokuwa na maji sasa hakunaga maisha ndio hayoo .Mgao n maeneo mengi kwa dodoma maji yanatoka saa 12 asubuhi hadi 11 jioni. Kwa kisasa nadhani na population inachangia kwa kiasi kikubwa.
Mkuu huko hakuna shida ya maji.Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?
Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.
Je, Huko kwingine hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.
Makulu ni kila sikuNkuhungu yanatoka mara mbili kwa wiki, Maili mbili yanatoka kila siku Alfajiri(niliwahi kuishi kule kipindi cha nyuma ingawa kwa sasa sijui kama bado yanatoka vile vile)
Ni changamoto kweli kweliMaji Dodoma tokea enzi za mwaalimu , maji hayapogi walikuwa wanatumia vijisehemu vidogo vilivyokuwa na maji sasa hakunaga maisha ndio hayoo .
Ila hata ukichimba kisima maji ni ya udongo
Ndiyo muoge na kunywa maghorofa!😂😂😂😂Naona serikali inawekeza kwenye maghorofa tu hapa Dodoma
Kila tapeli huwa hakosi slogans tamutamu.😂😂😂Ile kauli mbiu ya "maji kwa wote ifikapo mwaka 2000" ili ishia wapi? Ikafuautiwa "Ally Hassan Mwinyi apewe kura za ndio" "Maisha bora kwa kila mtanzania" "Serikali ya Viwanda" "hapa kazi tu" na sasa "RRRR" "nani kama Mama"
Halafu laghai yao ni kwamba ati adui yetu ni "Mabeberu" for sixty years hii laghai imeendelea.
Ukweli ni kwamba adui wa Nchi hii ni CCM.
Si kweli.Njoo hapa Izimbili bwawani Tabora uogelee.Au twende Ndiuka Iringa mto Ruaha tukavue kambale.Sio chamwino TU. Hilo ni janga la Tanzania nzima
Utapingwa na @Lucas Mwashambwa.
Mtu ambaye hajawahi kutoka nje ya wilaya yake unadhani atakuwa na mawazo gani?😂😂😂😂Huyu sijui ni mnyakyusa wa wapi aisee