Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 13,009
- 27,684
Tanzania si nchi ya kuishi kabisa.Mmi kinacho niumiza kwanini wana tumia vitabu vya dini kuapia ilihali wanaitia najis nchi yetu .... yani ni sawa sawa na kumwapisha mwizi
Kwa mtu mwenye uelewa na anaye jitambua.
Wajinga ni wengi sana nchini.
Tulipo sasa wenzetu walisha pita zamani sana.
Afrika kwa ujumla inaishi miaka 100 nyuma ya ulimwengu ulipo
