VanDon
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 418
- 699
Unazungumzia miaka gani jombaa? Nipo hapa more than 7 years.... Ratiba ipo constant.... Hatujawahi kukosa maji siku ya ratiba ya maji kutakiwa kutoka.
2010 mpaka 2012 kuna muda maji yalikuwa yanatoka kinyonge sana. Ratiba ilikuwepo lakini kuna muda muda watu tulikuwa tunapishana kitaa kutafuta maji. Unakuta mtaa huu hakuna kabisa, ila kuna mahali yanatoka kidogokidogo basi watu ni kubebelea madumu tu kama animation ya Rango.Unazungumzia miaka gani jombaa? Nipo hapa more than 7 years.... Ratiba ipo constant.... Hatujawahi kukosa maji siku ya ratiba ya maji kutakiwa kutoka.
