Shibuda atangaza kuihama CDM leo hii

Shibuda atangaza kuihama CDM leo hii

Status
Not open for further replies.
Mmeshindwa kufukuza madiwani mtaweza mfukuza Shibuda? labda aachie mwenyewe, maana juzi Membe alimkaribisha rasmi na kwenye hansard ipo.
 
Nipo maswa katika ofisi za Chadema, kwani kuna taarifa kwamba Mbunge wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, John Shibuda (CHADEMA) ametangaza kukihama Chadema. Nafatilia kwa undani wa habari hizo. lkn zimeshika kasi sana wakati huu.

dogodogo umetoa mpya kana kwamba usitaili uvue gamba kwani unatoa habari za kufikirika na huna uhakika
 
ni bora kuwa na wabunge wawili wenye msimamo kuliko kuwa na wabunge mia wasio na msimamo.
maneno yake makali aliyokuwa akiyatoa bungeni kuhusu ccm kuwa ni chama kilichooza na hakifai utetezi wake wa kupigania posho na usaliti wake ndio vitakavyomuangamiza labda aache siasa kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
sio shibuda ninaemjua...sidhan na katu huyu hawezi yeye kama yeye ajiengue...labda afukuzwe lakini kujitoa hiyo sidhani.....


Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 23rd July 2011
Posts : 4

Rep Power : 0
 
Shibuda hawezi kazoea vurugu huyu anangojea atoswe huyu .Chadema wako makini watampata tu .
 
yaani hili kimba chadema wakilitua itakua pooa sana.............
 
bora arudi ccm akaendeleze taarab huku chadema ni kupigania wananchi ngenjera hakuna
 
Mmeshindwa kufukuza madiwani mtaweza mfukuza Shibuda? labda aachie mwenyewe, maana juzi Membe alimkaribisha rasmi na kwenye hansard ipo.

hivi wewe unawashwa-washwa hivyo hata kwenye tendo??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom