Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Puuuu! Unajinyeanyea mpaka mvua zinyeshe.Yanaanza hivhivi mwisho wa siku,puuuuuuuuuu
Puuuu! Unajinyeanyea mpaka mvua zinyeshe.Yanaanza hivhivi mwisho wa siku,puuuuuuuuuu
hebu acha kamba wewe... hodi kwenye shibuda??Hi great thinkers, mie ndiyo napiga hodi hapa jamii forums. Long live jamiiforums.
Asante,
Magane
Hujaisoma vizuri mkuu kaandika tetesi.Mkuu Kama huna uhakika na unachokiandika ungeanza kwa kuanndika tetesi ktk heading yako.
umetumwa na Nape/Tambwe au Mukama?Hi great thinkers, mie ndiyo napiga hodi hapa jamii forums. Long live jamiiforums.Asante,Magane
FF tatizo ni ubavu au jimbo?Hamna ubavu huo, mie naomba mumfukuze tukachukuwe jimbo letu.
Mkuu jina lako linaendana sambamba kabisa na akili yako.Sasa kama unajua kafukuzwa lete wewe data basi
Asee! Nakupenda mpenzi, jana ulinipa raha sana.Hi great thinkers, mie ndiyo napiga hodi hapa jamii forums. Long live jamiiforums.Asante,Magane
FF tatizo ni ubavu au jimbo?
Nipo maswa katika ofisi za Chadema, kwani kuna taarifa kwamba Mbunge wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, John Shibuda (CHADEMA) ametangaza kukihama Chadema. Nafatilia kwa undani wa habari hizo. lkn zimeshika kasi sana wakati huu.
Karibu japo hii c sehemu mahususi kwa kupiga hodi!Hi great thinkers, mie ndiyo napiga hodi hapa jamii forums. Long live jamiiforums.Asante,Magane
Wewe ni chama cha magamba na unataka kusumbua akili za watu tu hapaNipo maswa katika ofisi za Chadema, kwani kuna taarifa kwamba Mbunge wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, John Shibuda (CHADEMA) ametangaza kukihama Chadema. Nafatilia kwa undani wa habari hizo. lkn zimeshika kasi sana wakati huu.
Nipo maswa katika ofisi za Chadema, kwani kuna taarifa kwamba Mbunge wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, John Shibuda (CHADEMA) ametangaza kukihama Chadema. Nafatilia kwa undani wa habari hizo. lkn zimeshika kasi sana wakati huu.