GossipNipo maswa katika ofisi za Chadema, kwani kuna taarifa kwamba Mbunge wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, John Shibuda (CHADEMA) ametangaza kukihama Chadema. Nafatilia kwa undani wa habari hizo. lkn zimeshika kasi sana wakati huu.
Sasa kama unajua kafukuzwa lete wewe data basiAtakuwa kafukuzwa huyo. Fuatilia mkuu tupe data
Shibuda aende tu maana naona huu ni mzigo tena gunia la misumari.Sasa kama unajua kafukuzwa lete wewe data basi
hivi muajiri wako nape anakulipa overtime?Kama ni kweli basi litakuwa pigo kubwa sana kwa Magwanda.
Fafanua kidogo,pigo kivipi?????Kama ni kweli basi litakuwa pigo kubwa sana kwa Magwanda.
Nipo maswa katika ofisi za Chadema, kwani kuna taarifa kwamba Mbunge wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, John Shibuda (CHADEMA) ametangaza kukihama Chadema. Nafatilia kwa undani wa habari hizo. lkn zimeshika kasi sana wakati huu.