Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 5,062
- 7,843
- Thread starter
- #21
Wewe niweke kwenye group unalotaka lakin mimi sio mtumwa wa kifikra nina-uhuru wa kufikiri na hata kukosea kama wao wanavyojaribu na kukoseaKama hata hili nililolisema unalipinga bhasi sijui nikuweke kwenye group gani mkuu.
Haiwezekani kila jambo unalotaka kufanya mwafrika unaambiwa mzungu alishaandika sio kweli