'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10

'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10

Hakyanani jamaa angekuwa hai angeweza hata kutuuzia nchi yetu wenyewe. Jamaa alijua kuitumia akili yake 100%
 
Mkuu hongera kwa kazi zako, huwa atleast mara moja kwa wiki navisit profile yako kucheki kama kuna chochote kipya.

Wewe na lara 1 mnaifanya JF iwe live kwenye kitengo hiki cha uandishi wa story.
 
Kiongozi upo vizuri kwa masimulizi....big up sana.

Ila zile amri kumi za huyu jamaa, ukichunguza kiundani ni miongoni mwa mbinu/sifa za kiupelelezi
 
Kiongozi upo vizuri kwa masimulizi....big up sana.

Ila zile amri kumi za huyu jamaa, ukichunguza kiundani ni miongoni mwa mbinu/sifa za kiupelelezi
Sio mbinu za kipelelezi tu peke yake bali unaweza kuziapply kwenye aspects nyingi sana za kimaisha hasa hasa kama shughuli zako zinahusisha kuintreract sana na watu..

Nashukiru kwa pongezi mkuu..
 
Asante yani nilitaka nikuulize vipi hakuna nyingine? Naangalia uzi ndio nikaikuta hii
.yaan sipati notification sijui shida ni nini na wakati jina langu lipo .

Asante The bold
 
The bold you did it again!Thumbs up bro Nimependa hizo amri kumi zake Na ndizo zilizomfanikisha japokuwa alikamatwa.
 
Asante yani nilitaka nikuulize vipi hakuna nyingine? Naangalia uzi ndio nikaikuta hii
.yaan sipati notification sijui shida ni nini na wakati jina langu lipo .

Asante The bold
Notification huwa zinazingua sana, wengi hawapati.. Nashangaaga nakuta labda mtu amequote comment yangu kwenye uzi nakuja naiona tu kwa bahati lakini sijapata notification..

Nashukuru kwa pongezi Divine...
 
Kama kawa kama dawa the bold hujatuangusha. Kama hii ni breakfast lunch sijui itakuaje.
Ila uwe unanitag mkuu kila siku nakukumbusha
 
Back
Top Bottom