'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10

'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10

Nimefurahi alivyo-print dollarz mpaka serikali ikachanganyikiwa!!!

Kitu nimejifunza ni kuwa wahalifu wana confidence ya kufa mtu!!!

Kitu kingine nimejifunza ni kuwa kama we ni mtu wa madili angalia sana uhusiano wako na hawa ke!
 
Nimefurahi alivyo-print dollarz mpaka serikali ikachanganyikiwa!!!

Kitu nimejifunza ni kuwa wahalifu wana confidence ya kufa mtu!!!

Kitu kingine nimejifunza ni kuwa kama we ni mtu wa madili angalia sana uhusiano wako na hawa ke!
KE ni wakuwa nao makini sana! Wahalifu wengi daraja la kwanza waliponzwa na ke..
 
Mkuu the The bold
hata hapa kwetu tunawapigaji ambao ukihadithiwa aina ya upigaji wa matukio yao unabaki na bumbuwazi.

nimewahi kuhadithiwa upigaji wa wahusika wawili maarufu sana nchini,si wengine ni ostaz juma na musoma na mwingine anaitwa chief kiumbe(bila shaka majina haya si mageni kwako).

hawa jamaa huwa wanajifanya waganga wa kienyeji na upigaji wao ni ule wa kumuhaidi mtu kuwa wanaweza kumuongeza pesa au utajiri.

wamefanikiwa sana kwa upigaji huo na wamewapiga watu wengi sana.

kuonyesha kuwa hawa jamaa ni magwiji ktk upigaji,hawapigi tu nchini bali hadi ktk nje ya mipaka ya tz.

wanapiga kenya,Uganda,Burundi,Rwanda,Congo,
Mozambique, south Africa,Dubai nk.

nikipata mda nitarudi kueleza mbinu wanayotumia kupiga kama nilivohadithiwa na rafiki yangu mtoto wa kinondoni ambaye anajua michongo mingi sana ya wapigaji wa town.
 
Mkuu the The bold
hata hapa kwetu tunawapigaji ambao ukihadithiwa aina ya upigaji wa matukio yao unabaki na bumbuwazi.

nimewahi kuhadithiwa upigaji wa wahusika wawili maarufu sana nchini,si wengine ni ostaz juma na musoma na mwingine anaitwa chief kiumbe(bila shaka majina haya si mageni kwako).

hawa jamaa huwa wanajifanya waganga wa kienyeji na upigaji wao ni ule wa kumuhaidi mtu kuwa wanaweza kumuongeza pesa au utajiri.

wamefanikiwa sana kwa upigaji huo na wamewapiga watu wengi sana.

kuonyesha kuwa hawa jamaa ni magwiji ktk upigaji,hawapigi tu nchini bali hadi ktk nje ya mipaka ya tz.

wanapiga kenya,Uganda,Burundi,Rwanda,Congo,
Mozambique, south Africa,Dubai nk.

nikipata mda nitarudi kueleza mbinu wanayotumia kupiga kama nilivohadithiwa na rafiki yangu mtoto wa kinondoni ambaye anajua michongo mingi sana ya wapigaji wa town.
Duuuuhh aiseeee!
Urudi kutupa uhondo huo Mkuu.. Maana hao magwiji uliowataja huwa nasikia sikia sio watu wa mchezo mchezo kwenye upigaji..

Nasubiri kwa hamu hicho kisa Mkuu kadoda11
 
Nazidi kujifunza mengi the bold.... Xahv naonekana mtu mbele ya watu naweza nikawakalisha hata watu mia nkiwapa story za most nottorious @criminnals dunian shukran sana mkuu @thebold
 
Back
Top Bottom