Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,749
- Thread starter
- #101
Bila shaka Mkuu..Tag me as well, coz I do appreciate
Bila shaka Mkuu..Tag me as well, coz I do appreciate
Shukrani Mkuu.. Nitajitahidi ikamilike mapemaThe bold huwa hukosei mkuu, i think next week hiyo makala itakua tayari
Kudos
Hahaha! Shukrani Mkuu..Usingizi uligoma nikakataaa NA hii post kama vile hardley chase nimelala huku natabasam
Sasa itabidi nikufwatilie
Mimi niliikubali ile ya utoka makao makuu ya CIA Langley ya bw. Osama kwakweli nimeicopy na kupaste pahalaThe bold Unasema hiki ni kisa kidogo ulichoona bora ushee nasisi wakati ukiendelea kuandika story??????
My God,
leo nimeamini Dogo kwako ni kubwa kwa mwenzako,
lemme tell you that, Hii ni moja kati ya story nzuri zaidi ulizowahi kuandika,
Inaanza
D.B Cooper. Inafuata ya Osama, then inaweza kufata hii...
Big up,
congrats,
all the best
-stunter-
Shukrani Mkuu..Bold shukran sana u made my day ..
Hahahah! Good point, angalia watu wanavyolalamika sasa hivi.. Lakini ikifika 2020 wanafanya tena maamuzi yale yaleNimecheka sana hasa huyo jamaa wa mnara anaitwa 'sumu' ila mi naona huyu jamaa Lusting anazidiwa na hawa Wanasiasa wetu, maana pamoja na kututapeli kila baada ya miaka 5 bado tunawakubali tu, tumekuwa kama Al Capone!