'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10

'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10

The bold Unasema hiki ni kisa kidogo ulichoona bora ushee nasisi wakati ukiendelea kuandika story??????
My God,
leo nimeamini Dogo kwako ni kubwa kwa mwenzako,
lemme tell you that, Hii ni moja kati ya story nzuri zaidi ulizowahi kuandika,
Inaanza
D.B Cooper. Inafuata ya Osama, then inaweza kufata hii...
Big up,
congrats,
all the best
-stunter-
Mimi niliikubali ile ya utoka makao makuu ya CIA Langley ya bw. Osama kwakweli nimeicopy na kupaste pahala
 
Nimecheka sana hasa huyo jamaa wa mnara anaitwa 'sumu' ila mi naona huyu jamaa Lusting anazidiwa na hawa Wanasiasa wetu, maana pamoja na kututapeli kila baada ya miaka 5 bado tunawakubali tu, tumekuwa kama Al Capone!
 
Nimecheka sana hasa huyo jamaa wa mnara anaitwa 'sumu' ila mi naona huyu jamaa Lusting anazidiwa na hawa Wanasiasa wetu, maana pamoja na kututapeli kila baada ya miaka 5 bado tunawakubali tu, tumekuwa kama Al Capone!
Hahahah! Good point, angalia watu wanavyolalamika sasa hivi.. Lakini ikifika 2020 wanafanya tena maamuzi yale yale
 
Mkuu The bold Salute sana nimetakasika vilivyo Niseme tena Asante kwa kunipa chakula akili inapeneaga.
 
Back
Top Bottom