Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
- Thread starter
- #181
Inabidi tuwakomalie waanze kutulipa fidia aiseeBongo movie washapata scripts
Inabidi tuwakomalie waanze kutulipa fidia aiseeBongo movie washapata scripts
Hivi Zama hizi kuna watu wenye mbinu kama hizi za akili nyingi namna hii kweli?
Shukrani Mkuu..Kiukweli hii fupi tamu ..nimemaliza story zako zote ndo maana nimepata cha ku-comment mkuu The bolds...
Nimecheka sana alipoazima pesa na kuziweka benki kisha kuzirudisha
Mkuu mwaka tunaufungajee?? Hatupati chakula ya ubungo ingine??Shukrani Mkuu..
Badae badae nadhani naweza kuiweka! Ila its a fiction stori, ya hapa hapa Tanzania.. Inahusu conspiracy, ujasusi na ushushushu..Mkuu mwaka tunaufungajee?? Hatupati chakula ya ubungo ingine??
Apo sawa mkuu itakuwa njema ,mwaka tuumalize vyema mkuu naomba mkuu kama kuna uwezekano unitag ukituwekeaaBadae badae nadhani naweza kuiweka! Ila its a fiction stori, ya hapa hapa Tanzania.. Inahusu conspiracy, ujasusi na ushushushu..
Bila shaka Mkuu nitakutag..Apo sawa mkuu itakuwa njema ,mwaka tuumalize vyema mkuu naomba mkuu kama kuna uwezekano unitag ukituwekeaa
Nashukuru sana mkuuu..Bila shaka Mkuu nitakutag..
Hahahahah! Hakuna uchawi wala nini, watu na bongo zao bhana..Wakati mwingine nausishaga utapeli na uchawi/mazingaumbwe fulani hivi. Jamaa balaa hadi mnara wa serikali
Hata mie mkuu na ndiyo story iliyonivutia hadi kuanza kufwatilia. Nilipenda sana kujua ilikuwaje baada ya hapo maana alipotea kama upepo.Asante Mkuu The bold, huyu tapeli alikuwa ni hatari balaa, pamoja na yote bado namkubali mtaalam D.B. Cooper na Spaggiari.
Ukiweka nyingine nitag tafadhali.