kwa dhana hiyo anazeeka kama tunavyoona wale waovu wakubwa mwishowe walivyopoteana na kuishiwa nguvu za kueneza uovu, ila la kukumbuka ni kwamba waovu ndio watapoteana uzeeni ila uovu utaendelea maana shetani atawaingia vijana wapya wenye nguvu yaani kama juma pondamali mensah anavyomuaanda kijana wake bashiteAnapovaa mwili wa nyama je!? Kumbuka sizungumzii kifo nazungumzia kuzeeka
Ni kwa vile shetani naye ana vizazi kama mwanadamukwa dhana hiyo anazeeka kama tunavyoona wale waovu wakubwa mwishowe walivyopoteana na kuishiwa nguvu za kueneza uovu, ila la kukumbuka ni kwamba waovu ndio watapoteana uzeeni ila uovu utaendelea maana shetani atawaingia vijana wapya wenye nguvu yaani kama juma pondamali mensah anavyomuaanda kijana wake bashite

AkishafukiwaAkizeeka na kufwa
@mshana jr.....Sometimes ni furastresheni zangu tuu