Shetani akizeeka anakuwa malaika

Shetani akizeeka anakuwa malaika

Kwa mujibu wa maandiko matakatifu umri wa mwanadamu ni miaka 70 na akiwa na nguvu ni miaka 80 (pengine ni 700-800) baada ya hapo unaishi miaka ya ubatili
Ukipewa hii Neema ya kuishi miaka hiyo, nguvu zinapokuishia mwilini na kuanza kukikaribia kifo hata mindset yako hubadilika... Hasa ukikikaribia kifo kwa njia ya kuugua magonjwa yanayoambatana na uzee.. Unaanza kuiona kweli katika uhalisia wake! Unaanza kumuona Mungu na njia ya kuelekea uzimani
Chini ya miaka 70 wala usiwaze kuwa hata malaika msaidizi achana na malaika mkuu kama alivyokuwa Lucifer.. Hii inatokana na kwamba akili bado inakuwa active na mwili bado una nguvu huku via vya uzazi vikiwa katika hali ya ukomavu kutokana na kupokea mitulinga mingi na kuingia matanuri mengi
Inasemekana vile vya jinsia pinzani hurudi kuwa sealed na hivi vyetu hubaki na kazi ya kutoa ndogohaja tuu... Useless kabisa... Kutoka kutoa umeme wa 3phase, mpaka wa kuwasha tochi tuu .... Kutoka horsepower 100 mpaka kupiga hendeli... .... Unapofikia hapa shetani anakuwa hana faida tena nawe.. Huna nguvu huna lolote.. Hata ukipewa utaishia kuibariki tuu.... Babu nitoe baridi huwezi... Babu nisubiri nakuja.... Wewe kitambo kabisa kwa kasi ya supersonic ulishafika ... Huna jinsi zaidi ya kumrudia mola wako

Hapa kuna mawili usipogeuka kuwa malaika.. Utageuka kuwa mchawi.. Hizi ndio starehe za uzeeni... Utafanya starehe gani tena wakati meno yenyewe huna tena na nyama huwezi kutafuna? Hata ukikogoa ardhi haichimbiki!?
Utakuwa mpinzani mkuu wa uwepo wa Mungu
Utakuwa unaingia nyumba za ibada si kwa uchaji toka rohoni bali kutokana na nafasi yako.. That Majesty boldness... Kwakuwa una nafasi fulani katika jamii, ni mfanyabiashara mkubwa, au ni msanii maarufu au una nguo mpya gari nknk.... Ukizeeka hayo yote si kitu tena.. Unaweza enda hata na gagulo la kushindia na kubazi la yeboyebo mtaa wa Jangwa na ukaona poa tu...
. Nimemkumbuka Idd Amin dada kafa akiwa ustadh
. Nimemkumbuka Mzee Mwiru, kafa na kitubio
. Nimewakumbuka wengi... Bibi Tina wa mwananyamalaa
. Nimewakumbuka hata hawa wanaokaribia kufika huko!? Nabaki najiuliza tuu... Hivi hawajui fainali ni uzeeni!?
Shetani akizeeka anakuwa malaika.... Je ni mashetani yote au ni baadhi tuu... Kwa hakika ni baadhi tu ndio maana kuna wanga na wachawi vikongwe.... Sijui yeye atakuwa nani
Kazi ya fasihi.Asante mkuu
 
Now or never...! Wakati si milele...!!

Mshana Jr nilijua wewe unaamini katika kufa na kufufuka.
kama ndiyo basi muktadha wa "now or never - wakati siyo milele" wakati unaamini katika umilele wa maisha yajayo inakuwa ni fallasy.
Hata hivyo, kwa maisha yetu hapa duniani na kwa bandiko hili, ni kweli wakati siyo milele
 
Mshana jr sijaelewa hii plz nitoe porin nisogeze barabaran
Mi nimemuelewa Mshana katuambia
Tuwe malaika mapema kwa kufahamu uwepo wa mwenyezi mungu,au kwa rugha nyepesi
Tuswali (Sali) kabla hatujaswaliwa (saliwa)

Na kwa wale waliochagua kuishi maisha ya ushetani bac wachimbe mashimo mapema kabla hawajazeeka wakachekwa
Wale nyama mapema kabla meno ayajang'ooka mdomoni,
Au kwa rugha nyepesi
Vunja mifupa kama meno bado yapo
 
Hahahaha nimemuwaza bibi mmoja mchawi kweli alisumbuaga sana mtaa miaka ya nyuma,eti akakufwa akiwa ameokoka khaaa yani jamani kuna watu sijui ni bahati yaaani kama kuna kujigamba huko tunakoenda baada ya kufa,yule bibi atajigamba sana haha kama namuona anasema "nimeroga saaaana na bado nimeingia mbinguni"
 
Hahahaha nimemuwaza bibi mmoja mchawi kweli alisumbuaga sana mtaa miaka ya nyuma,eti akakufwa akiwa ameokoka khaaa yani jamani kuna watu sijui ni bahati yaaani kama kuna kujigamba huko tunakoenda baada ya kufa,yule bibi atajigamba sana haha kama namuona anasema "nimeroga saaaana na bado nimeingia mbinguni"
"Nimeroga sana na bado nimeingia mbinguni"... mbavu zangu jaman
 
Hahahaha nimemuwaza bibi mmoja mchawi kweli alisumbuaga sana mtaa miaka ya nyuma,eti akakufwa akiwa ameokoka khaaa yani jamani kuna watu sijui ni bahati yaaani kama kuna kujigamba huko tunakoenda baada ya kufa,yule bibi atajigamba sana haha kama namuona anasema "nimeroga saaaana na bado nimeingia mbinguni"
Ameokolewa kwa Neema tu
 
Nanukuu "Nimewakumbuka hata hawa wanaokaribia kufika huko!?" Inaonekana hapa ndipo penye fumbo la IMANI la uzi huu.
 
Hahahaha nimemuwaza bibi mmoja mchawi kweli alisumbuaga sana mtaa miaka ya nyuma,eti akakufwa akiwa ameokoka khaaa yani jamani kuna watu sijui ni bahati yaaani kama kuna kujigamba huko tunakoenda baada ya kufa,yule bibi atajigamba sana haha kama namuona anasema "nimeroga saaaana na bado nimeingia mbinguni"
eti "nimeroga sana na bado nimeingia mbinguni"
 
Kwa mujibu wa maandiko matakatifu umri wa mwanadamu ni miaka 70 na akiwa na nguvu ni miaka 80 (pengine ni 700-800) baada ya hapo unaishi miaka ya ubatili
Ukipewa hii Neema ya kuishi miaka hiyo, nguvu zinapokuishia mwilini na kuanza kukikaribia kifo hata mindset yako hubadilika... Hasa ukikikaribia kifo kwa njia ya kuugua magonjwa yanayoambatana na uzee.. Unaanza kuiona kweli katika uhalisia wake! Unaanza kumuona Mungu na njia ya kuelekea uzimani
Chini ya miaka 70 wala usiwaze kuwa hata malaika msaidizi achana na malaika mkuu kama alivyokuwa Lucifer.. Hii inatokana na kwamba akili bado inakuwa active na mwili bado una nguvu huku via vya uzazi vikiwa katika hali ya ukomavu kutokana na kupokea mitulinga mingi na kuingia matanuri mengi
Inasemekana vile vya jinsia pinzani hurudi kuwa sealed na hivi vyetu hubaki na kazi ya kutoa ndogohaja tuu... Useless kabisa... Kutoka kutoa umeme wa 3phase, mpaka wa kuwasha tochi tuu .... Kutoka horsepower 100 mpaka kupiga hendeli... .... Unapofikia hapa shetani anakuwa hana faida tena nawe.. Huna nguvu huna lolote.. Hata ukipewa utaishia kuibariki tuu.... Babu nitoe baridi huwezi... Babu nisubiri nakuja.... Wewe kitambo kabisa kwa kasi ya supersonic ulishafika ... Huna jinsi zaidi ya kumrudia mola wako

Hapa kuna mawili usipogeuka kuwa malaika.. Utageuka kuwa mchawi.. Hizi ndio starehe za uzeeni... Utafanya starehe gani tena wakati meno yenyewe huna tena na nyama huwezi kutafuna? Hata ukikogoa ardhi haichimbiki!?
Utakuwa mpinzani mkuu wa uwepo wa Mungu
Utakuwa unaingia nyumba za ibada si kwa uchaji toka rohoni bali kutokana na nafasi yako.. That Majesty boldness... Kwakuwa una nafasi fulani katika jamii, ni mfanyabiashara mkubwa, au ni msanii maarufu au una nguo mpya gari nknk.... Ukizeeka hayo yote si kitu tena.. Unaweza enda hata na gagulo la kushindia na kubazi la yeboyebo mtaa wa Jangwa na ukaona poa tu...
. Nimemkumbuka Idd Amin dada kafa akiwa ustadh
. Nimemkumbuka Mzee Mwiru, kafa na kitubio
. Nimewakumbuka wengi... Bibi Tina wa mwananyamalaa
. Nimewakumbuka hata hawa wanaokaribia kufika huko!? Nabaki najiuliza tuu... Hivi hawajui fainali ni uzeeni!?
Shetani akizeeka anakuwa malaika.... Je ni mashetani yote au ni baadhi tuu... Kwa hakika ni baadhi tu ndio maana kuna wanga na wachawi vikongwe.... Sijui yeye atakuwa nani
Umetisha Mshana Jr japo kuna moja Ana miaka 94 lkn alijivua nguo mwenyewe pale mnazi moja kwa kutaka kiongozi wa malaika abadilishe katiba atawale milele sababu tu ili kumjengea mwanae mazingira awe rais wa koloni lao znz mwaka 2020...
 
Umetisha Mshana Jr japo kuna moja Ana miaka 94 lkn alijivua nguo mwenyewe pale mnazi moja kwa kutaka kiongozi wa malaika abadilishe katiba atawale milele sababu tu ili kumjengea mwanae mazingira awe rais wa koloni lao znz mwaka 2020...
Halafu anaishi miaka ya ubatili
 
Halafu anaishi miaka ya ubatili
Sema ilikuwa lazima yy mwenyewe atuakkishie yule kijana alie mpiga kibao alikuwa yupo sahihi maana duniani hapa ukiwa mjinga ww ndio utakawaeleza watu mie mjinga na ukiwa muelevu ww mwenyewe ndio utawaeleza watu jamani mie muelevu kupitia matendo yko...
 
Sema ilikuwa lazima yy mwenyewe atuakkishie yule kijana alie mpiga kibao alikuwa yupo sahihi maana duniani hapa ukiwa mjinga ww ndio utakawaeleza watu mie mjinga na ukiwa muelevu ww mwenyewe ndio utawaeleza watu jamani mie muelevu kupitia matendo yko...
 
Back
Top Bottom